Natamani sana iwe hivyo.!
Wachambuzi wengi hawajui mpira wana mawazo mgando kwamba lazima ushinde nyumbani.
Wana msemo wao wanakwambia "kwa mpira wa Africa lazima ushinde nyumbani".
KAMFUKUZISHA NA KOCHAMazembe "nje" kwa matuta 2 dhidi ya 4 za Vipers.
Mazembe wamefukuza kocha
Na Berkane wapo shirikisho, Al ahly tripol wapo huko piaMAZEMBE WANAENDA SHIRIKISHO UTOPOLO WANAENDA SHIRIKISHO KAZI IPO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Edit comment yako mkuu, KATUPWA MAKUNDI?Kuna kaka MUARABU mwingine katupwa.makundi anaitwa js saoura.yanga ajiandae asje akaleta naye kisa Cha jins kaka muarabu js saoura alivyombadili jinsia yanga
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbona wydad humtaji na alimtandika petro Atletico kwakeMazembe limebaki jina. Timu tishio Afrika kwa sasa ni Mamelod & Petro Atletico de Luanda.
Walienda Rwanda hao kucheza za kirafikiNasubiri wachambuzi uchwara waje na sababu za uongo uongo maana Mazembe kafanya pre season Zambia kacheza mechi za kutosha na kina Zesco, Azam na Red Arrows hao Vipers walikua kwao Uganda hawajaenda popote zaidi ya kuja kucheza bonanza na Yanga
Timu yao haina ubora kama zamani kocha anawajibiahwa tu ila Mazembe ile ya kina Treso Mputu, Samatta, Kalaba, Ulimwengu sio hii ya sasa ina draw na AzamHana mbinu tena,sasa mwaka jana katolewa hatua hii hii na cotton sport ya cameroon na msimu huu anatolewa na waganda ,wa kazi gani tena??
Uliifuatilia pre season ya Vipers au unaongeaa tu.Nasubiri wachambuzi uchwara waje na sababu za uongo uongo maana Mazembe kafanya pre season Zambia kacheza mechi za kutosha na kina Zesco, Azam na Red Arrows hao Vipers walikua kwao Uganda hawajaenda popote zaidi ya kuja kucheza bonanza na Yanga
Huyohuyo tukae nae kundi moja.Msije mkaomba kukutana na huyu nyoka ni hatari sana huyu..mimi simba ila huyu mbwa simpendagi [emoji26]
Kmbuka pia hao zesco na red arrows washatupwa nje,si ajabu azam akawa anafuatia kwa orodha hiyo. Pengine haikuwa selection sahihi ya mechi za kirafiki kwakeNasubiri wachambuzi uchwara waje na sababu za uongo uongo maana Mazembe kafanya pre season Zambia kacheza mechi za kutosha na kina Zesco, Azam na Red Arrows hao Vipers walikua kwao Uganda hawajaenda popote zaidi ya kuja kucheza bonanza na Yanga