Vipi bei ya sukari katika supermarket za Jeshi?

Vipi bei ya sukari katika supermarket za Jeshi?

mwl. mziray

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
598
Reaction score
404
Habari ndugu zanguni?

Kwa kawaida bei ya bidhaa ktk supermarket za Jeshi hutofautiana na bei za mitaani.

Mara yangu ya mwisho kununua sukari ktk supermarket zao ilikuwa ni mwaka jana mwezi wa sita ambapo nilinunua 1kg kwa sh.1550/= wakati huo sukari ikiuzwa sh.2000/= mtaani.

Naomba tujuzane kama huu upele unatuwasha sote au ndg zetu hawahusiki?
 
Ipo hiyo sukari huko? Huku mtaani kwetu madukani hakuna
 
Back
Top Bottom