astrologist
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 221
- 268
bila shaka wewe ni chura, embu jaribu kufikiria kwa kutumia kichwa chenye ubongoKipindi akina Lipuli na timu nyingine ndogo zinachezeshwa mchana wa jua kali hatukusikia hizi kelele.
Wewe ndio hutumii akili. Ulikua wapi kupigia kelele hili jambo kipindi timu ndogo zinacheshwa mchana. Leo Simba na Yanga wanacheza mchana unaona tatizo. Huu upendeleo utaisha lini? By the way lazima utakuwa Mbumbumbu wewe.bila shaka wewe ni chura, embu jaribu kufikiria kwa kutumia kichwa chenye ubongo