Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Tra ilikanusha kudaiwa kwake.Wanajamvi salaam!
Hivi karibuni msanii Diamond Platnumz alipelekewa taarifa ya TRA assessment ya kudaiwa kodi ya kiasi kisichopungua milioni 400,
Wadau mbalimbali walijitokeza kumtetea akiwemo profesa J lakini baada ya muda hii ishu imekuwa kimya swali ni je alilipa, amesamehewa na wameyamaliza kijanja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekomenti kwa sababu yanakuhusu?FATA mambo yako mkuu
Ya ngoswe mwachie ngoswe
Hivi life lilivobana round hii,, umekaa mtu mzima unafikiria issue zisizikuhusu...
Wake up mkuu
HahahaNamshauri Dimond alipe baada ya acacia kulipa deni la trillion 424
Sent using Jamii Forums mobile app