daah kiukweli huwa inawaonganisha kweli watu na kazi especialy customer cares pale vodacom,bt now days naona magumashi yameshaingia,baadhi huwa wanataka ela but ni kwa sili,na matatzo mengine ndo kama hayo ukipeleka hauitwi,na one thng i hate about the cmpny ni intervwz kama 5,yaan inachoshaa..but peleka tena mkuu.