vipi hawa tanroads kagera wameahirisha kuita au kuna mafuriko?

Watu wanaendelea na ajira zao, siku nyingi. This is Tanzania
 
wameita lini maana niko bush nalima mara chache navisit net.
 
Kaka hapa kuna habari za kusua sua hazina uhakika kabisaaaaaaaaaaa.
Kuna mmoja aliniambia walishaita zamani na wanapiga mzigo,
Mwingine akasema bado hawajaita kwani wanasubilia fungu toka............., sasa sijui nani mkweli????
Mwenye habari za uhakika hapa tunaomba atujuze.
 
Ufupi, watu wapo kazini, subiri nimenusa ajira zenyewe zinatangazwa no later than end of this month
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…