Kaka hapa kuna habari za kusua sua hazina uhakika kabisaaaaaaaaaaa.
Kuna mmoja aliniambia walishaita zamani na wanapiga mzigo,
Mwingine akasema bado hawajaita kwani wanasubilia fungu toka............., sasa sijui nani mkweli????
Mwenye habari za uhakika hapa tunaomba atujuze.