Mkalukungone mwamba JF-Expert Member Joined Aug 29, 2022 Posts 862 Reaction score 1,755 Jun 14, 2024 #1 Kwenye nyumba nyingi kuna ratiba ya kufanya usafi kama vile usafi wa chooni ,kufagia uwanja n.k sasa vipi wewe uliko panga je utarabu huo upo na unafuatwa kama ulivyopangwa,share nasi hapa
Kwenye nyumba nyingi kuna ratiba ya kufanya usafi kama vile usafi wa chooni ,kufagia uwanja n.k sasa vipi wewe uliko panga je utarabu huo upo na unafuatwa kama ulivyopangwa,share nasi hapa
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 14, 2024 #2 JF kila mtu anakaa kwenye apartment. Kasoro Baba Swalehe
Mla Bata JF-Expert Member Joined Jan 24, 2013 Posts 7,841 Reaction score 17,491 Jun 14, 2024 #3 Mad Max said: JF kila mtu anakaa kwenye apartment. Kasoro Baba Swalehe Click to expand... Na Mimi ndio nashangaa humu Mambo ya kupanga na kupangiana zamu za usafi yanatokea wapi Kila mmoja ni anaishi kwenye spaaaace. π π
Mad Max said: JF kila mtu anakaa kwenye apartment. Kasoro Baba Swalehe Click to expand... Na Mimi ndio nashangaa humu Mambo ya kupanga na kupangiana zamu za usafi yanatokea wapi Kila mmoja ni anaishi kwenye spaaaace. π π
Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,178 Reaction score 39,641 Jun 14, 2024 #4 Mad Max said: JF kila mtu anakaa kwenye apartment. Kasoro Baba Swalehe Click to expand... Nipo hapa magomeni mapipa nasubiri ugali dagaa mkuu
Mad Max said: JF kila mtu anakaa kwenye apartment. Kasoro Baba Swalehe Click to expand... Nipo hapa magomeni mapipa nasubiri ugali dagaa mkuu
D Diz26 JF-Expert Member Joined Nov 1, 2023 Posts 205 Reaction score 434 Jun 14, 2024 #5 Mla Bata said: Na Mimi ndio nashangaa humu Mambo ya kupanga na kupangiana zamu za usafi yanatokea wapi Kila mmoja ni anaishi kwenye spaaaace. π π Click to expand... πππππ
Mla Bata said: Na Mimi ndio nashangaa humu Mambo ya kupanga na kupangiana zamu za usafi yanatokea wapi Kila mmoja ni anaishi kwenye spaaaace. π π Click to expand... πππππ
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Jun 14, 2024 #6 Ebu ngoja wapangaji waje, wengine bado hatujahama kwa shemeji alomuoa dada...π