Vipi huko ulipo, bei ya mazao ipoje?

Vipi huko ulipo, bei ya mazao ipoje?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Huku mimi nafurahi sana ninapouza kipeto cha viazi debe sita vikiwa shambani nauza 65000, sichimbi wala siweki kibarua, japo parachichi soko kidogo lilisumbua, maziwa yanauzika ng'ombe tunataja bei tunayojisikia, nguruwe wanakuja kukuomba uwauzie, naona huu mwaka sio haba gharama za mbolea. Vibarua zilikuwa juu sana though zimejilipa, hapa tunatembea na faida huko kwako vip unajutia kuwa mkulima.
 
Haya wakulima pigeni hela mwaka huu Mwaka wenu...


Mahindi nachingwea gunia 48000

Mahindi Masasi 60000


TUnduru mchele kilo 1700/1800

Liwale mchele kilo 1500

VIAZI mtwara 115000-120000.


Mazao mengine sijui ila maharage ya njano yanaendelea ku maintain Bei yake kilo 2200-2300

Labda Kama unataka na vyakula vya biashara Bei ya ufuta niiweke wazi hapa
 
Back
Top Bottom