Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hahahahaha jamaa comedian sana!!Bado dk ya 89'..
Wait.
Huyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado dk ya 89'..
Wait.
Huyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1615116
Hicho chumba cha darasa kipo kama zizi la mbuzi hiyo sakafu yakeHuyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1615116
Si wewe ndio ulikuwa unakata viuno kumshabikia?Hahahahaha jamaa comedian sana!!
Ndio kishindo cha awamu ya 5 hichoHicho chumba cha darasa kipo kama zizi la mbuzi hiyo sakafu yake
Je Marando?Usipoteze muda kujadili watu ambao wameishi Ikulu tangu wakiwa watoto wa miaka 22mpaka uzee wa miaka 50
Hao hawajui shida wala taabu,Wao wanajua tu usalama wa nchi basi
Achana na huyo mtu,Aliapa mbele ya Nyerere akiwa mtoto wa miaka 21 kuwa atalinda siri za nchi na hatazitoa
Aliahidi siku akisaliti auwawe
Membe hawezi kwenda kinyume na kazi ya utoto wake
Membe amekulia Ikulu kama Mizengo Pinda
Mizengo Pinda na Membe ni watoto wa Ikulu tangu vijana hao achana nao
Waliapa na kuapishwa,waliogeshwa damu ya bendera ya Taifa
Wana technic zote hao hata ukiona wanajifanya vichaa na hamnazo wewe waache kuna kitu ujue wanatafuta
Hao Membe na Pinda kwa mujibu wa kazi zao wanaruhusiwa kuwa machizi na vichaa ili wakunase
Usinitie unajisi aisee... nimejisikia kutapika nilipoiona hii quote yako. Laanatul mkubwa mwana wa kahaba beelzebulSi wewe ndio ulikuwa unakata viuno kumshabikia?