M msasa Member Joined Nov 27, 2008 Posts 81 Reaction score 1 Nov 2, 2010 #1 Wana jf sijapata matokeo ya kalapina naomba mwenye habari zake atupashe
P prossy New Member Joined Nov 1, 2010 Posts 4 Reaction score 0 Nov 2, 2010 #2 Mkuu,mimi ni Legend wa Block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa Udiwan,CCM wamechukua,ntatuma fig kamili...
Mkuu,mimi ni Legend wa Block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa Udiwan,CCM wamechukua,ntatuma fig kamili...
I Innolee Member Joined Oct 6, 2010 Posts 9 Reaction score 0 Nov 2, 2010 #3 Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.............
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,092 Nov 2, 2010 #4 Dah sijui mshikaji kapata
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,092 Nov 2, 2010 #5 prossy said: mkuu,mimi ni legend wa block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa udiwan,ccm wamechukua,ntatuma fig kamili... Click to expand... asikate tamaa bado ana nafasi
prossy said: mkuu,mimi ni legend wa block 41,watu wemetusnich.... Tumekosa udiwan,ccm wamechukua,ntatuma fig kamili... Click to expand... asikate tamaa bado ana nafasi
M msasa Member Joined Nov 27, 2008 Posts 81 Reaction score 1 Nov 3, 2010 Thread starter #6 ccm noma, ila ndo siasa kaza buti
S Selemani JF-Expert Member Joined Aug 26, 2006 Posts 947 Reaction score 294 Nov 3, 2010 #7 Kalapina aligombea udiwani? Haa haaa, kura za masela hazikutosha. Daaamn, he would have made an interesting diwani.
Kalapina aligombea udiwani? Haa haaa, kura za masela hazikutosha. Daaamn, he would have made an interesting diwani.
Tonge JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 695 Reaction score 12 Nov 3, 2010 #8 Duuuu, ila asife moyo aendelee kuwa karibu na wananchi tu mwaka 2015 anaweza kupata udiwani.:doh: