vipi kuhusu diploma hizi?

Wachaka

Senior Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
107
Reaction score
23
Niaje bhandugu!hivi unapomalza hiz diploma;orthopaedic technology,medical laboratory science nk.waweza pata kaz bila kuhangaika mtaani!?natanguliza shukran.
 
Niaje bhandugu!hivi
unapomalza hiz diploma;orthopaedic technology,medical laboratory science
nk.waweza pata kaz bila kuhangaika mtaani!?natanguliza shukran.

i think ajira ya hzo course huwa wanapat waliofaulu vizur kwa sababu watu wake wanafanya kaz ktk hospitl kubw tu ambazo zinawahitaj hao watu
 
niaje bhandugu!hivi unapomalza hiz diploma;orthopaedic technology,medical laboratory science nk.waweza pata kaz bila kuhangaika mtaani!?natanguliza shukran.
take it from me course ya orthopaedic technology kwa tanzania hatuna chuo kinacho toa course hii genarally nafasi kwa hii zipo kwani hakuna ushindani mkubwa na hata ukiangalia nafasi za kaz kwenye afya hiyo huwa haitajwi mara nyingi hospitali kubwa huwa wanaamua kumteua mtu kama nurse akasome hiyo kozi ni sawa na dialysis tech. Kwetu hiyo bado sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…