Green_Touches Member Joined Dec 25, 2016 Posts 67 Reaction score 18 Mar 6, 2017 #1 Heshima kwenu wadau, Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi. Karibuni.
Heshima kwenu wadau, Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi. Karibuni.
jamii01 JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,983 Reaction score 1,423 Mar 6, 2017 #2 Hii biashara unatakiwa huwe una utaalam sana wa IT na stuff wako otherwise itakula kwako
Bahati furaha JF-Expert Member Joined Jul 11, 2012 Posts 3,054 Reaction score 1,415 Mar 6, 2017 #3 jamii01 said: Hii biashara unatakiwa huwe una utaalam sana wa IT na stuff wako otherwise itakula kwako Click to expand... Kivipi mkuu, fafanua kidogo juu ya unachokijua
jamii01 said: Hii biashara unatakiwa huwe una utaalam sana wa IT na stuff wako otherwise itakula kwako Click to expand... Kivipi mkuu, fafanua kidogo juu ya unachokijua
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 13,998 Reaction score 31,757 Mar 6, 2017 #4 Hii biashara ni nzuri ila nasikia malipo yake ni 2% ya kiasi unacho mhudumia mteja