Vipi kuhusu TCU batch three

Asante mkuu naomba tujuzane zaidi ikishatoka
 
Wakuu hebu jaribuni kuingia kwny profile zenu washatufungulia Selma orodha ya majina undo bado
 
but jamaa wako Slow sana kuya-approve hayo majina,coz afadhal ya batch 2 ilikuw na watu wengi (685) but hii 373 na jamaa zngu wametuma barua tangu march but no names displayed. Lakin najua Mungu mkubwa everythng gonna be alright.
 
but jamaa wako Slow sana kuya-approve hayo majina,coz afadhal ya batch 2 ilikuw na watu wengi (685) but hii 373 na jamaa zngu wametuma barua tangu march but no names displayed. Lakin najua Mungu mkubwa everythng gonna be alright.

Ni kweli mkuu me mwenyewe nimepeleka barua sasa mwezi yapita lakini jina langu bado hata
 
jamani wadau mi nataka kufanya tena application jee kuna batch nyingine..? naombeni msaada wenu wakuu
 
Cha kufanya andika barua yako ukieleza kwann hukujiunga na chuo pind ulipo chaguliwa au kwanini uliacha pia ambatanisha na barua ya utambulisho toka chuo ulichochaguliwa hapo awali kisha tuma kwa email hata mara 3 ukitofautisha mm nilituma barua tarehe 3 mwez huu bt jna langu limetoka jitahidini mtafanikiwa ndugu zangu
 

Ndugu yangu kuna sisi wegine barua yapita mwezi lakina jina mpaka sasa hivi bado
 

Mkuu yapita mwezi sasa na hata hii batch ya tatu bado jina langu sijaliona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…