Magereza kazi yake kubwa sio kulinda wafungwa, kazi kubwa ya magereza ni kubadili tabia za wafungwa ili wakitoka huko waje huku kuwa raia wema. hivyo basi wanahitajika professionals kwaajili ya kuendesha gereza kisasa na kufanya hiyo kazi ya kubadili tabia pamoja na kuwapatia wafungwa stadi za maisha ili wakitoka waje wawe raia wema. Na lingine ni kuwa sasa hivi inatakiwa magereza yajiendesha kwa kuzalisha chakula chao. So kilimo cha kisasa kitawezekana bila professional wa kilimo? Jadili