Vipi mdau wa soka usajili unakupa picha gani kuelekea kwenye msimu mpya 2024\2025

Vipi mdau wa soka usajili unakupa picha gani kuelekea kwenye msimu mpya 2024\2025

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Dirisha la usajili linaendelea kushika kasi huku timu za Yanga na Simba zikiwa zinaendelea kushusha vyuma vyao .
vipi mdau usajili unakupa picha gani kwenye msimu mpya 2024\2025
 
Simba amesajili wachezaji wapya 13
Yanga amesajili wachezaji wapya 4
Kwa wapenzi wa soka safi picha inayotujia ni ya kutisha mnoo tunaogopa hata kuwaambia ukweli maana mtalia thanaa
 
Simba amesajili wachezaji wapya 13
Yanga amesajili wachezaji wapya 4
Kwa wapenzi wa soka safi picha inayotujia ni ya kutisha mnoo tunaogopa hata kuwaambia ukweli maana mtalia thanaa
Iko hivi, Simba msimu uliopita walisajili jumla ya wachezaji 15 katika madirisha yote mawili , msimu ubao anza hadi sasa wamesajili wachezaji 13 ina maana ndani ya mwaka mmoja ndani ya Simba wameingia wachezaji jumla ya 27 na kuondoka wachezaji Kwa idadi hiyo hiyo! Kwa maana nyingine Simba imevunja uti wa mgongo wa timu na inajenga timu mpya, katika mazingira nayo, watahitaji muda wa kutosha , wa misimu kadhaa ili kuwa na timu imara, wakati nayo yanatokea kwa Simba,Yanga wao, wanatimu iliyo imara kwahiyo wanarekebisha pale palipo onyesha udhaifu ili kuwa na timu imara zaidi.Huwezi kuwa na timu imara kwa kusajili na kuacha wachezaji 27 ndani ya mwaka mmoja, huo ni utani, soka haliko hivyo!
 
Dirisha la usajili linaendelea kushika kasi huku timu za Yanga na Simba zikiwa zinaendelea kushusha vyuma vyao .
vipi mdau usajili unakupa picha gani kwenye msimu mpya 2024\2025
Kila timu inasajili kwa uwezo wke na mahitaji yao.
Waanfdishi wa habari wana husika zaidi na timu mbili tuu . Yanga Na Simba.
Usajili wote huu na msifa mengi huenda ukawa hauna maana yoyte kumataifa.
Halafu utaSIKIA PRE SEASON WANAKWENDA NJE NDIO IWE NINI AU KWA FAIDA GANI.
 
Baada ya mja hunena uungwana ni kitendo,
Time tells,
Tutajua iliyelamba galasa na aliyelamba dume,
Mpira sio uchambuzi na maneno ni action zitakazotokea uwanjani.
 
Iko hivi, Simba msimu uliopita walisajili jumla ya wachezaji 15 katika madirisha yote mawili , msimu ubao anza hadi sasa wamesajili wachezaji 13 ina maana ndani ya mwaka mmoja ndani ya Simba wameingia wachezaji jumla ya 27 na kuondoka wachezaji Kwa idadi hiyo hiyo! Kwa maana nyingine Simba imevunja uti wa mgongo wa timu na inajenga timu mpya, katika mazingira nayo, watahitaji muda wa kutosha , wa misimu kadhaa ili kuwa na timu imara, wakati nayo yanatokea kwa Simba,Yanga wao, wanatimu iliyo imara kwahiyo wanarekebisha pale palipo onyesha udhaifu ili kuwa na timu imara zaidi.Huwezi kuwa na timu imara kwa kusajili na kuacha wachezaji 27 ndani ya mwaka mmoja, huo ni utani, soka haliko hivyo!
Ni kweli mkuu, mgongo wa timu unaundwa na namba 1,5,6,8 na 9. Sasa hapa kote Simba amesuka upya kwa msimu ujao, sio rahisi Simba kuurejesha Ubingwa.
 
Soka letu (hasa Giant teams from K/koo) limekuwa sanaa kwa ukanda wa E.A na kati kwa sasa timu nyingi zitatilia maanani zinapocheza na Sisi.
 
Kama matumizi ya BAHASHA yatadhibitiwa ,,
Basi itoshe kusema kuna timu itajuta kumnunuwa CHAMA 🤣🤣
 
Kama matumizi ya BAHASHA yatadhibitiwa ,,
Basi itoshe kusema kuna timu itajuta kumnunuwa CHAMA 🤣🤣
Ujinga ni kwamba tunashabikia timu mbili tu ndio maana soka la bongo halikui.

Tanzania bado hawana elimu juu ya uwekezaji wa michezo, hawajui manufaa yake, serikali ingeteua wataam waende England 🇬🇧 wakajifunze namna soka inavochangia kwenye budget ya nchi hiyo, Mimi nashauri ifike sehemu tuachane na usimba na uyanga bali tutazame mpira kama biashara.

Mfano mdogo tu: Kama timu ta Yanga isingedhulimiwa South Africa 🇿🇦 ingeenda hatua ya nusu fainali, Pesa ambazo wangelipwa lazima serikali inge ingechukua kodi yake, Kuna mambo meengi kwenye sports tatizo ni uwelewa mdogo wa TFF na serikali yetu ya kutokua na malengo ya muda mrefu ya kuwekeza kwenye michezo. Michezo ni Fursa.
 
Back
Top Bottom