#COVID19 Vipi mechi ya Simba vs Yanga juu ya msongano wa mashabiki?

#COVID19 Vipi mechi ya Simba vs Yanga juu ya msongano wa mashabiki?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Nilikuwa nauliza tu corona haichagui msongamano uwe lazima au usio wa lazima. Tarehe 25/7/2021 huko Kigoma kuna mechi kubwa sana baina ya vilabu vikubwa nchini.

Mechi hiyo huenda ikashuhudiwa na watazamaji wengi na wengini wa nchi za jirani kama Burundi.

Swali kwa Wizara ya Afya

Vipi msongamano wa mashabiki wa mechi hiyo na maambukizi ya corona?
 
Siku zinaenda mbio, leo hii CDM wanapinga measures za kujilinda na Corona!!! Hiki chama kweli ni janga la taifa, Magu na madhaifu yake yote, lakini kuwanyoosha hawa watu lilikuwa ni jambo jema! Wanafiki na mazandiki, wanaojali matumbo yao, ni wakati muafaka sasa Samia awaache vyombo vya ulinzi wadili na hawa watu, asiwaingilie
 
Mechi hiyo huenda ikashuhudiwa na watazamaji wengi na wengini wa nchi za jirani kama Burundi.

Swali kwa Wizara ya Afya

Vipi msongamano wa mashabiki wa mechi hiyo na maambukizi ya corona?
Mashabiki wa Yanga na Simba huwa hawaongelei Katiba mpya, kwa hiyo wao hawawezi kupata au kusababisha Korona
 
Tanzanian are not seriously juu ya Corona Ni ujanjaujanja tu
 
Back
Top Bottom