dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Itakumbukwa ni mwezi tu umepita bajet ya wizara ya ardhi chini ya Jery Silaa imepitishwa na baada kupitia jamaa a alianza na gia kali ya kuzunguka nch nzima kurudisha ardh iliyo ibiwa na matapeli wa ardhi walio tapakaaa nchi nzima
Nimeamin matapeli wakikuamulia wanaweza kukutoa kweny nafsi wakaweka mtu wa takao na mamb yao yaende
Poleni sana mlio kuwa mnamtegemea silaa awarudishie ardh yenu ndio hvyo hakik tu mtegemee mungu pekee
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nimeamin matapeli wakikuamulia wanaweza kukutoa kweny nafsi wakaweka mtu wa takao na mamb yao yaende
Poleni sana mlio kuwa mnamtegemea silaa awarudishie ardh yenu ndio hvyo hakik tu mtegemee mungu pekee
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari