Hebu niache babu ee! Wafikiri nilianzisha nanenane ili kila mwaka iwepo? Tupo bize na shughuli za maana sio huo upuuzi unaotaka kuendekeza. Nyooo!Huyu dada mrembo aitwaye Naisujaki Lekangai alikaribisha watu wa kumpa kampani mwaka mpya wa 2017.Vidume tulijikoku kupata hiyo chansi ila ni mmoja tu aliyefanikiwa.Sasa dada safari hii utakaribisha tena maombi au vipi?Nataka niwahi nisizidiwe ujanja kama mwaka jana.Anyway, mengi siandiki ila nakuja PM.
Kumbe wajua hivyo? Sasa muda wa ujinga nitaupata wapi?Yupo, anaingia humu siku mojamoja.Yaelekea yuko bize sana huko Moshi/Arusha