mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Wakuu habari zenu!
Nimechoka sana; nimekuwa nikiugua homa na kikohozi tangu Alhamisi, hivyo sikuweza kupita kwenye vijiwe vyangu. Leo na jana nimepata simu nyingi kuulizia kama nitafika kazini kesho. Naomba unisaidie pesa kidogo kwa ajili ya kujitibia, maana naumwa mimi na wanangu pia.
Najiuliza, je, huu ugonjwa umesambaa kote Njombe au ni nchi nzima? Watu wengi wanalalamika kuhusu homa, kikohozi na mwili kuhisi baridi.
Nimechoka sana; nimekuwa nikiugua homa na kikohozi tangu Alhamisi, hivyo sikuweza kupita kwenye vijiwe vyangu. Leo na jana nimepata simu nyingi kuulizia kama nitafika kazini kesho. Naomba unisaidie pesa kidogo kwa ajili ya kujitibia, maana naumwa mimi na wanangu pia.
Najiuliza, je, huu ugonjwa umesambaa kote Njombe au ni nchi nzima? Watu wengi wanalalamika kuhusu homa, kikohozi na mwili kuhisi baridi.