Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Umeletewa ushahidi ndani ya Qur'an,kama ilitaja science zote hizo,umeshindwa kutoa hoja hata moja ya kupinga.Kwanza utueleze hayo maneno unayasoma gani na je unakiamini?
Muhammad kweli ni level nyingine. Maana ameweza kuwakaririsha ukilaza wake mpaka leo mnauamini. na hamtaki kufikiria nje ya box.
Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?
Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!
91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!
92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Kuwepo sio sababu,yawezo kuwepo lakini hakuna aliyegundua.Ugunduzi na kuwepo kwa kitu fulni ni vitu viwili tofauti.Hiv kabla hajaja huo mwaka 600 AD hiyo barrier haikuwepo?...
Maajabu ni kuwa alisema mwili wa Farao ulibaki ndani ya maji haujaharibika, ili iwe ni ukumbusho na funzo kwa wanaojifanya ni Mungu,kwa kutaa kumuabudu Mungu wa kweli, kwa vizazi vijavyo Na kweli mwili ulikuja opolewa baharini na kukutwa haujaharibika,miaka imeshapita .Musa Aliishi Miaka around 1400-1200 BC Mohamad kaja Miaka 600 AD, Musa na Mohamad wanagap la miaka zaidi ya 2000!...huoni Mohamad kaandika vitu ambavyo vilishakuwepo ? Sasa mirracle hapa inatoka wapi?
Wewe mlevi wa mataptap, ziko mbingu ngapi unazozijua wewe? Ukafiri mbaya sana hadi akili pia inafungika, shame on you LebronKuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...
Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".
Uwongo uwongo tu!
Watu wengine ama kweli Kanisani hakuna kitu.
Yesu ni MTU kama Mimi na wewe.Iweje Leo aitwe Mungu.
Acheni kufuru hizo.
Mungu ana Miguu miwili?
Nauliza?
Sasa hapo umeona ni science hiyo au mtu kaandika walichofanya waliomtangulia?Umeletewa ushahidi ndani ya Qur'an,kama ilitaja science zote hizo,umeshindwa kutoa hoja hata moja ya kupinga.
Unabaki kuita watu vilaza,kumbe kilaziro ni wewe.
Okay ni vema umeuliza ili ujuzwe. Quran imekamilika mia takriban 1400 iliyopita. Na wakati mtume amekuja mpaka anafariki. Mwili wa huyo Farao wa Mussa ulikua haujapatikana na wala ulikua haujulikani uliko. Mwili huo ulikuja kupatikana na wavuvi mwaka 1898.Musa Aliishi Miaka around 1400-1200 BC Mohamad kaja Miaka 600 AD, Musa na Mohamad wanagap la miaka zaidi ya 2000!...huoni Mohamad kaandika vitu ambavyo vilishakuwepo ? Sasa mirracle hapa inatoka wapi?
Pyramid zenyewe hazijajengwa na mafarao wala wana wa Israel kama ulivyo aminishwa. Mpaka haijulikani mjenzi wake ni nani na yalijengwa kwenye zama gani, uwezekano Moines hayakujengwa na binaadam. Pitiable hapa ufunguke zaidi.Na wewe tumia akili japo kidogo, kama sayansi ilikuwa duni pyramids zilijengajwe? hivi umepewa ubongo unajuwa kazi ya ubongo?
Unaposema furani hakujenga kitu fulani maana yake mjenzi unamjuwa, hivyo ni vyema ukamtaja badala ya kubwabwaja tu. Ujinga huu.Pyramid zenyewe hazijajengwa na mafarao wala wana wa Israel kama ulivyo aminishwa. Mpaka haijulikani mjenzi wake ni nani na yalijengwa kwenye zama gani, uwezekano Moines hayakujengwa na binaadam. Pitiable hapa ufunguke zaidi.
salim msangi: JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? S02, Ep5 (Nyayo za Wageni Kutoka Sayari Ya Mbali - Nazca )
Wewe ndio umechelewa,hiyo kusema mtu hajui anakwenda wapi,ni misemo ya Lugha ya kiarabu,waarabu wana misemo yao kulingana na lugha ya kiarabu,kama katika kiswahili pia kuna misemo kama "Najua nitokako,sijui niendako,ngoja nile chakula kabisa."Sio kwamba huyu hajui endako,anajua anakwenda wapi,ila nikuweka sisitizo la kufanya kitu chenye manufaa mapema,usiseme nitafanya baadaye.Sasa hapo umeona ni science hiyo au mtu kaandika walichofanya waliomtangulia?
unakuja hiyo mistari ya mtu ambae yeye mwenyewe hajui hatma yake itakuwaje huko mbele anakwenda wapi baada ya maisha haya.
Matusi ya nini link hiyo hapo pitia ujiridhishe halafu neo urudi hapa kwa hoja .Unaposema furani hakujenga kitu fulani maana yake mjenzi unamjuwa, hivyo ni vyema ukamtaja badala ya kubwabwaja tu. Ujinga huu.
Porojo.Matusi ya nini link hiyo hapo pitia ujiridhishe halafu neo urudi hapa kwa hoja .
Hii ni uthibitisho wa kiwango chako duni CHA kufikiri na kupima mambo.Porojo.
Huyu ana wenzake,siwataji hapa lakini wanajulikana,nimeshawapa uthibitisho mwingi kuhusu Qur'an ilivyo sahihi katika nyanja zote za kielimu.Zaidi mwisho wanabaki hawana hoja za kujibu.AYA wazee wa pyramid.
Secrets of Pyramids
Upper part of pyramids were baked and then cast like modern cement.
For centuries, Egyptologists and geologists thought that the Egyptian pyramids were made of limestone blocks (up to 70 tons) that were quarried by chiseling limestone. Workers then carried those blocks up the pyramids on ramps. This building procedure was thought to be so superhuman that it made the pyramids become one of the Seven Wonders of the World. However today electron microscopes revealed that the blocks at the top have chemistries found nowhere in nature. Those blocks at the top must have been baked and then cast like modern cement (not chiseled from existing limestone) Learn More.
However 1400 years ago the Quran said that Pharaoh used baked clay (like modern cement; not chiseled limestone) to build their high rises:
[Quran 28.38] And Pharaoh said to his people: "I have not known a god for you other than myself; so Haman, light me a fire to bake clay so that I could build a rise high enough, maybe I see Moses' god whom I think is a liar."
38. Na Firauni akasema: Enyi waheshimiwa! Sijui kama mnaye mungu asiye kuwa mimi. Ewe Haman! Niwashie moto unichomee udongo, unijengee mnara nipate kumchungulia mungu wa Musa. Na hakika mimi namwona yeye ni katika waongo.
(The circumference of the circle is πD. So if the diameter is 10 units then the circumference should be 31.4 units. However in describing the temple the Christian Bible erroneously claims that the circumference is 30 units, making π = 3 (1 Kings 7:23))
Hivi ndo Quran tukufu inaeleza wazi jinsi gani walikua wakitengeneza hayo ma pyramid
FACTS HIZI HAPO.
1- The pyramids are 48 stories high.
2- They're made of 2+ million rocks.
3- Each rock from those 2+ million rocks weighs at least 2 1/2 tons. The heaviest ones weigh around 72 tons!
So how was it possible to lift each rock to 10s of stories high, let alone drag it? The secret, these rocks were all MAN-MADE from very special soil that Egypt has in abundance, and the rocks were heated at 900 degrees to become rock solid and to look almost naturally carved from mountains.
This was all confirmed by a Western Scientist, Prof. Davidovits, in 1981. This information wasn't known before that.
Science has confirmed it in 1981, and the Holy Quran already mentioned it 1,400 years ago.
KISODA 2 MZEEWA UBISHI BILA HOJA NJOO UOKOE ZALI KAMA UTAWEZA THUBUTU.
Hivi wewe unawajua watu wa kabila la Dogon waliopo mali?Pyramid zenyewe hazijajengwa na mafarao wala wana wa Israel kama ulivyo aminishwa. Mpaka haijulikani mjenzi wake ni nani na yalijengwa kwenye zama gani, uwezekano Moines hayakujengwa na binaadam. Pitiable hapa ufunguke zaidi.
salim msangi: JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? S02, Ep5 (Nyayo za Wageni Kutoka Sayari Ya Mbali - Nazca )
Usipoteze muda na calories zako kubishana na huyo mtu.Unaposema furani hakujenga kitu fulani maana yake mjenzi unamjuwa, hivyo ni vyema ukamtaja badala ya kubwabwaja tu. Ujinga huu.