Mara akaleta dini kwa upanga,mara kahonga.Ukidanganywa,wajikaza usidanganyike sana.Wee acha upohoyo wako. Mtume asiyetahiriwa ndiye aliyeanzisha kuhonga watu wajiunge na dinj yake
Huna ujuacho in karirishwa Tu
Kafir mkubwa
Nifundishe mbinu alizotumia Muhammad kumbadili Allah Mkuu wa miungu ya Alkaaba ya Makuraish na kumfanya kuwa Allah Mwenyezi Mungu na mapoyoyo kama wewe mnaendelea kumwabudu.Achana nae sio lazima, yeye kasoma saana yeye anaelemu saana, huyo jamaa ana hoja hatari dah anajua saana usibishane nae utaumbuka maana anajua saana, si unaona ana abudu picha na masanamu kanisani so umuwezi huyu jamaa nouma kweli. kifupi utaumiza kichwa kumuelewesha kwa sababu mind yake aijataka kuelewa.
Kuabudu Allah na kuabudu picha ni sawa kopo na mfuniko. Hakuna toauti. Mimi ninamwabudu Mungu Yahweh kupitia Mwana Wake Yesu Kristo aliye haikabudu picha huko na masanamu
Zote ni mbinu za jamaa aliyekufa pasipo kutahriwaMara akaleta dini kwa upanga,mara kahonga.Ukidanganywa,wajikaza usidanganyike sana.
Wewe huna hoja,umeshabanwa pakutokea huna.Mzungu kakundanganya,na umedanganyika.Yesu azaliwe Israel,aishi Israel,atangaze dini Israel,wasije waisrael kukutangazia habari ya Yesu aje Mzungu,ambaye hafanani naye kwa chochote.Muisrael na mzungu wapi na wapi.Si afadhali angekuja muarabu,mtu wa mashariki ya kati mwenzake Yesu,akakupa habari za Yesu.Nifundishe mbinu alizotumia Muhammad kumbadili Allah Mkuu wa miungu ya Alkaaba ya Makuraish na kumfanya kuwa Allah Mwenyezi Mungu na mapoyoyo kama wewe mnaendelea kumwabudu.
Njoo kafir wewe
kafiri wewe unamini mungu ana mwana, akiwa na mwana maana yake anamke na hio kufuru kubwa chunga maneno yako yatakutia matatizoni wewe.Kuabudu Allah na kuabudu picha ni sawa kopo na mfuniko. Hakuna toauti. Mimi ninamwabudu Mungu Yahweh kupitia Mwana Wake Yesu Kristo aliye hai
Umeelewa Kafir wewe
Wewe ni Robot sio binadamTumia akili,kama Yesu angekuwa katangaza ukristo,nina hakika waisrael wote na nchi za kiarabu wangekuwa wakristo wote.Jinsi watu wa mashariki ya kati wanavyoelewana lugha na utamaduni wao.Lakini lazima itakuw Yesu ipo dini aliyoitangaza kinyime cha hiyo anayosingiziwa.
Kafir mwandamizi wewe.kafiri wewe unamini mungu ana mwana, akiwa na mwana maana yake anamke na hio kufuru kubwa chunga maneno yako yatakutia matatizoni wewe.
Wewe kwenu ilikuwa lazima waje waarabu maana ndio ndini ya kabila laoWewe huna hoja,umeshabanwa pakutokea huna.Mzungu kakundanganya,na umedanganyika.Yesu azaliwe Israel,aishi Israel,atangaze dini Israel,wasije waisrael kukutangazia habari ya Yesu aje Mzungu,ambaye hafanani naye kwa chochote.Muisrael na mzungu wapi na wapi.Si afadhali angekuja muarabu,mtu wa mashariki ya kati mwenzake Yesu,akakupa habari za Yesu.
Darasa unalijua wewe? Mshukuru Nyerere kwa elimu ya bure ama sivyo ungejua Alhamdulilahi tu! Wacha mawaitha yako, yapeleke msikitini kwa wasiolewa siyo mimi!Tatizo lako ni uwelewa hafifu.Mfano mwepesi ninaokupa ikiwa darasani,Mwalimu anajitahidi kwa mwanafunzi,na huyo mwanafunzi haonyeshi ushirikiano,na yupo mwanafunzi anayeonyesha ushirikiano unafikiri Mwalimu atamfuatilia mwanafunzi anayefutilia masomo yake au atamfatilia mwanafunzi asiyefutilia masomo yake.
Hata kazini,unapoajiriwa,mwajiri anakupa miezi mitatu ya kuangalia jinsi unavyoipenda kazi yako,na kuifanya kwa ufanisi,ukionekana hujali kazi yako,mwajiri atakuachisha kazi.
Na uislamu ndivyo ulivyo,hakuna kubembelezana,hutaki kuwa muislamu,uislamu hauna kazi na wewe.
Sio kama wale wanaowahonga watu miyumba na chocolate ili waingie kwenye dini yao.
Nyie wa Allah version mpya mnavaq Ahram/IhramWadanganywa waislamu wahiji uchi,hata TV huangalii,na hija inarushwa live.
Akili ya Mbweha hiyoTumia akili,kama Yesu angekuwa katangaza ukristo,nina hakika waisrael wote na nchi za kiarabu wangekuwa wakristo wote.Jinsi watu wa mashariki ya kati wanavyoelewana lugha na utamaduni wao.Lakini lazima itakuw Yesu ipo dini aliyoitangaza kinyime cha hiyo anayosingiziwa.
Alikuja wa Israel hawakumpokea sawa,ikiwa waisrael hawakumpokea,mbona wasiokuwa waisrael,walioko mashariki ya kati nao pia hawakumpokea.Wampokee mzungu,halafu mzungu ndio akuletee wewe hiyo dini ulioko afrika.Kwa nini wasitoke watu wa Mashariki ya kati,ndio walete habari za Yesu.Wewe ni Robot sio binadam
Binadam angemwelewa Bwana Yesu aliposema "Nilikuja kwangu walio wangu hawakunipokea lakini walionipokea niliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu na ndio sisi tuliaminio jina lake"
Kafir wewe kichwani mwako mna nini ?
Mjinga na mpuuzi wewe tena lofa kabisa Kila kilichopo ndani ya kuraani wana sayansi wameona hakina shaka wala wasiwasi na ndio maana kila wanachogundua kipo ndani ya kuraani unachobisha ni ujingaMtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,
Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu
Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Wewe ni msukule kabisa. Kuluonyesha kuwa Ukristo ulikuwa umeenea dunia karibu yote nimekwambia Muhammad hajazaliwa Wakristo walikuwepo Makkah wakati Makuraish wao wakiendelea kumwabudu Allah Mkuu wa miungu na wasairdizi wake ndani ya Alkaaba.Alikuja wa Israel hawakumpokea sawa,ikiwa waisrael hawakumpokea,mbona wasiokuwa waisrael,walioko mashariki ya kati nao pia hawakumpokea.Wampokee mzungu,halafu mzungu ndio akuletee wewe hiyo dini ulioko afrika.Kwa nini wasitoke watu wa Mashariki ya kati,ndio walete habari za Yesu.
Hapa itakuwa kuna mjanja aliowazidi wazungu akili,akawauzia mbuzi kwenye gunia.Kwa maana Yesu hakukanyaga kwa wazungu,wazungu wakaiteka dini ya Yesu,wakaifanya ni yao.Mpaka leo popote duniani,itaambiwa uktisto ni dini ya wazungu,lakini kumbe aliyeleta dini hiyo(kama kaileta yeye)hakuwahi kukanyaga ulaya yoyote.Kazaliwa,kaishi,kafa(kama mnavyoamini kama alikufa),Israel.
Ikiwa wakristo waliuliwa Maka,na hapa Israel na nchi nyingine za kiarabu pia waliuliwa?Kwa mashariki ya kati nchi ni nyingi sio Saudi Arabia.Unadanganywa ukadanganyika.Wewe ni msukule kabisa. Kuluonyesha kuwa Ukristo ulikuwa umeenea dunia karibu yote nimekwambia Muhammad hajazaliwa Wakristo walikuwepo Makkah wakati Makuraish wao wakiendelea kumwabudu Allah Mkuu wa miungu na wasairdizi wake ndani ya Alkaaba.
Muhammad anaanzisha rini yake alikutwa Wakristo na alitimia baadhi ya story za wakristo wa vijiweni kuandika kwenye kitabu cha dini yake Quran
Sasa sijui ufundishweje uelewe kuwa unayoyaona sasa ni baada ya mauaji na mateso ya kutisha waliopewa Wakristo duniani sehemu zingine wamemalizwa kabisa ibilisi katamalaki kama Saudi Arabia Makka ikiwemo.
Umepewa mfano wa Karibuni wa taifa pekee lililokuwa la Kikristo mashariki ya kati Jordani na namna Wakristo wqnavhoteketezwa na waislam bado huelewi
Kafir mkubwa unajaza sever bureee