Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Kama hajatahiriwa,angeruhusu waislamu watahiriwe.Waislamu kutahiriwa ni lazima,sio hiyari kama wakristo.Muhammad alitahiriwa???
Ibrahimu sio Yahud,kumbe wakristo hivi mnaposema Ibrahim ni baba wa Imani wajuwa ni Yahud?Ibrahim kazaliwa Iraq,mwarabu,alikwenda Palestina ,na baadaye Misri.Someni mpate maarifa.
Ndio mnavyojipotosha?, iweje Isihaka, Jackob na wanae 12, Daudi wawe Wayahudi-Waebrania huku babu yao Ibrahimu awe Mwarabu?Ibrahimu sio Yahud,kumbe wakristo hivi mnaposema Ibrahim ni baba wa Imani wajuwa ni Yahud?Ibrahim kazaliwa Iraq,mwarabu,alikwenda Palestina ,na baadaye Misri na akaenda Hijaz,aliptoka Hijaz akarudi Palestina ,amefariki ana miaka 175,amezikwa Palestina katika mji uliyoitwa Khaliyl.Someni mpate maarifa.
lete aya inayosema alitahiriwa.Kama hajatahiriwa,angeruhusu waislamu watahiriwe.Waislamu kutahiriwa ni lazima,sio hiyari kama wakristo.
Kisoda 2,lazima ujuwe kuna dini tatu zinaitwa Abrahmic Religions .Yaani hizo dini zinafuata mambo ya kiimani kutoka kwa Ibrahim,yaani wanafuata mila za Nabii Ibrahim,kwa hiyo lazima ujuwe hapo mwanzo palikuwa na dini moja kati ya hizo dini.Dini ilikuwa moja,walianza kutofautiana baada kugawanyika makundi ya kukataa Manabii waliofuatia baadaye.Dini hizo tatu zinafanana kwa kukubali Mitume waliyopita wako sawa,ukiangalia wote wanaaminiJe mnakubali Yesu na Muhammad wote ni mitume?
Nchi za mashariki ya kati zinafanana kidogo katika mambo ya kikabila katika Afrika,kwa mfano unaweza ukakuta kwetu Tanzania,wapo wachaga,lakini wanatofautiana kuna wachaga wa koo tofauti,sisi tukiwaona wore ni wachaga,na hata wamasai ni hivyo hivyo,wasomali,na ndio makabila haya ya kiafrika yanahesabika sio wabantu,ni makabila yanayotoka pembe ya Afrika,karibu na nchi za mashariki ya kati kama Ethiopia,Somalia,Eriteria nk.Ndio mnavyojipotosha?, iweje Isihaka, Jackob na wanae 12, Daudi wawe Wayahudi-Waebrania huku babu yao Ibrahimu awe Mwarabu?
Ninakuambia waislamu wanafuata mila za nabii Ibrahim,ufahamu kila cha Nabii Ibrahim kinafanyika.lete aya inayosema alitahiriwa.
Ingawa nimezaliwa mkristo Na natambulika hvo ila hamna dini ambayo imeonyesha hekima Na maarifa kama uislamu kuanzia uumbaji wa ulimwengu kila kitu kiko accurate kabisa1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Hujui unenalo, allah akuongoze.hata japo kwa elimu ya dunia tu,au hata somo moja la "trans atlantic slave trade".halafu ufunge kalomo kako.ukatumie kwa kumsabihi mwenyezi.Allah hakuumba chochote. Kama angeumba angependa uhai wa binadamu zake, badala yake analeta Quran na kumtuma Muhammad kuua watu kwa upanga, kukata mikono na miguu, kuua wanawake ambao wamekuwa raped na waarabu kwa mawe, kuwafanya watumwa waafrika, jihad na terrorist. Muumba wako Allah hakuitaji kujichanganya maana ni Sheitwaan mkuu.
Mimi naulewa mkubwa kuliko wewe. Ndiyo alipozaliwa Ibrahim ndipo panaitwa Iraq kwa sasa baada ya waarabu kuvamia. Kabla ya hapo hakuitwa Iraq wala Uarabuni. Ibrahim alizaliwa Babylon Chaldea mji wa Ur, karibu na Euphrates na Tigris rivers.Tatizo lako uelewa mdogo,nimekuambia ktahiri kumeanza toka wakati wa Ibrahim.Ibrahim alizaliwa Iraq,Iraq ni nchi ya kiarabu.Miaka 8000 iliyopita ndio alizaliwa.Wewe wafikiri Ibrahim alikuwa Myahud?Ibrahim alizaliwa Iraq na aliishi Iraq.
Quran imefanya nini??Ushaidi Quran! Unataka nini zaidi?
Wewe kweli bweha! Unamjua Tiptip? Unafikiri wanzanzibari na wapemba no descendants wa nani? Nenda bagamoyo na unguja uone historia ya waarabu waislamu walivyotesa ndugu zetu weusi!Hujui unenalo, allah akuongoze.hata japo kwa elimu ya dunia tu,au hata somo moja la "trans atlantic slave trade".halafu ufunge kalomo kako.ukatumie kwa kumsabihi mwenyezi.
Allah wako hana uwezo wowote zaidi ya uchagi na mauaji ya innocent people. Kiboko ya Allah ni Jehovah na mwanaye Jesus Christ. Jesus kwanza yuko hai mbinguni wakati Muhammad wenu alishakufa na mifupa yake iko Makkah mnaenda kuabudu kila hijja. Kwahiyo wewe ndiyo ufunge kalomo kako siyo mimi.Hujui unenalo, allah akuongoze.hata japo kwa elimu ya dunia tu,au hata somo moja la "trans atlantic slave trade".halafu ufunge kalomo kako.ukatumie kwa kumsabihi mwenyezi.
Tibia hawajui hao[Quran 6.125] Those whom Allah wants to guide, He opens their chests to Islam; And those whom He wants to leave astray, He makes their chests tight and constricted, as if they are ascending to the sky: Such is the penalty of Allah on those who refuse to believe.
Astaghfirullaah, hivi mbona unakuja na matusi dhidi ya hoja,mbona unapoteza mjadala.kuna wasomaji wengi hapa.Allah wako hana uwezo wowote zaidi ya uchagi na mauaji ya innocent people. Kiboko ya Allah ni Jehovah na mwanaye Jesus Christ. Jesus kwanza yuko hai mbinguni wakati Muhammad wenu alishakufa na mifupa yake iko Makkah mnaenda kuabudu kila hijja. Kwahiyo wewe ndiyo ufunge kalomo kako siyo mimi.
Siyo matusi ukweli!Astaghfirullaah, hivi mbona unakuja na matusi dhidi ya hoja,mbona unapoteza mjadala.kuna wasomaji wengi hapa.
Hakuna uvamizi wala mini,Ibrahim hakuwa myahudi,na hawezi kuwa myahudi,kwa sababu Uyahud ni dini sio kabila,lazima uelewe.Iraq ni nchi toka zamani,tizama ramani vizuri.Uyahudi hakuwapo wakati wa Ibrahimu.Mimi naulewa mkubwa kuliko wewe. Ndiyo alipozaliwa Ibrahim ndipo panaitwa Iraq kwa sasa baada ya waarabu kuvamia. Kabla ya hapo hakuitwa Iraq wala Uarabuni. Ibrahim alizaliwa Babylon Chaldea mji wa Ur, karibu na Euphrates na Tigris rivers.
Mwa11:31 Baada ya hapo Tera akamchukua mwana wake Abramu, na mjukuu wake Loti, mwana wa Harani, na binti-mkwe wake Sarai, mke wa mwana wake Abramu, nao wakaondoka Uru la Wakaldayo pamoja naye ili kwenda katika nchi ya Kanaani. Baadaye wakaja Harani na kukaa huko.
Mwa 15:7 Ndipo akaongeza kumwambia: “Mimi ni Yehova, niliyekutoa katika Uru la Wakaldayo ili nikupe nchi hii uirithi.”
Hayo maandiko juu ndiyo historia ya kweli siyo Quran yenu.
Ukiona mtu anajibu kama wewe unavyojibu,ujuwe umeishiwa hoja.Allah wako hana uwezo wowote zaidi ya uchagi na mauaji ya innocent people. Kiboko ya Allah ni Jehovah na mwanaye Jesus Christ. Jesus kwanza yuko hai mbinguni wakati Muhammad wenu alishakufa na mifupa yake iko Makkah mnaenda kuabudu kila hijja. Kwahiyo wewe ndiyo ufunge kalomo kako siyo mimi.
Sasa hebu pitia hiyo link ya trans atlantic slave trade#875 halafu tukae chini tuyajengeSiyo matusi ukweli!