Anza kwa kunielezea kuhusu embryology. Miaka ya nyuma kabla ya mtume (S.A.W) sayansi yake ilikuwa inasemaje??Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,
Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu
Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hapa naanza kukuelewa vizuri akili yako .........mHawakshindwa na zilikuwepo
Anza kwa kunielezea kuhusu embryology. Miaka ya nyuma kabla ya mtume (S.A.W) sayansi yake ilikuwa inasemaje??
Wewe ni ngumu kuelewa dababu umekaa zaidi kiimani na si ki_fact Ungekuwa sio mshabiki wa upande fulani Ungeelewa vizuri kuwa mambo hayo yote yalishakuwako kabla ya Hiyo miaka 1400 kutoka kwa mababu weusi wa Misri, Israel na Ugiriki! Si jambo hata la kukaa na kuanza kubishana hapa. Soma vitabu vyote usisome kimoja.Anza kwa kunielezea kuhusu embryology. Miaka ya nyuma kabla ya mtume (S.A.W) sayansi yake ilikuwa inasemaje??
Sasa mzee kama Huna Data zote za Nyuma ya Mtume, Utawezaje kuthibitisha kuwa yote hiyo ni kazi yake, Nakupa Muda "soma" Mythology za Eghypt, na Greece Unaweza kuona hayo yote uliyoyaongea hapo kama ni marudio tu Ambayo yalishafanywa miaka elfu na elfu iliyopita na wakongwe wa zamani.Anza kwa kunielezea kuhusu embryology. Miaka ya nyuma kabla ya mtume (S.A.W) sayansi yake ilikuwa inasemaje??
Hapana ni kosa sana kumsemea vivyo mtu mkubwa kama huyo unaweza sababisha makubwa mno kwenye jamii si jambo jema.Mtume mpaka wanja wa manga..
Fala tu huyo alikopi na kupaste kutoka vitabu vya biblia na riwaya za kiyunani huyo korombwe
hizo mbingu saba ni zipi mkuuAlikua mtume kajua kutoka kwa Mungu wake aliokua akimuongoza na mengine alikua akiyaona njiani mfano safari ya miraaji alitumia wormholes, alipita mbingu zote saba na kadhalika
Mtume mpaka wanja wa manga..
Fala tu huyo alikopi na kupaste kutoka vitabu vya biblia na riwaya za kiyunani huyo korombwe
UJUE KUNA TOFAUTI YA WORMHOLE NA BLACKHOLEhizo mbingu saba ni zipi mkuu
nipe ushahidi wa black holes kwenye quran naona unatupiga chenga tu
Mtume mpaka wanja wa manga..
Fala tu huyo alikopi na kupaste kutoka vitabu vya biblia na riwaya za kiyunani huyo korombwe
Nadhani ungetumia lugha nyepesi kama aliyotumia mkuu kituko ningekuelewa pia. Anyway, hiyo kiraza naiweza itafasiri kama ******?.Wewe ni ngumu kuelewa dababu umekaa zaidi kiimani na si ki_fact Ungekuwa sio mshabiki wa upande fulani Ungeelewa vizuri kuwa mambo hayo yote yalishakuwako kabla ya Hiyo miaka 1400 kutoka kwa mababu weusi wa Misri, Israel na Ugiriki! Si jambo hata la kukaa na kuanza kubishana hapa. Soma vitabu vyote usisome kimoja.
acheni kupiga dana dana tuwekeeni vifungu vya quran vinavyozungumzia hivyo vitu.UJUE KUNA TOFAUTI YA WORMHOLE NA BLACKHOLE
Asante mkuu nimelifuatilia bandiko lako na link uliyonipa. Nimelazimika kuchimba mambo kadhaa na kugundua kuwa hinduism inakuwa termed as oldest religion on earth nadhani wanatumia kigezo kuwa ukristo ulianzishwa baada ya kuja yesu na uislam umeanzishwa na muhammad miaka takribani 600 baadae wakati huo hinduism ilikuwa hata kabla ya kristo.Hiyo ilikuwa kabla ya Quran na Mtume
DECODINGHINDUISM.COM: Embryology in Ancient Indian scriptures-Part 1
Kumbe taahira na yy anjuaga kusoma [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]acheni kupiga dana dana tuwekeeni vifungu vya quran vinavyozungumzia hivyo vitu.
True very very true kwanza angetakiwa ajue kwamba uislam ulianza c baada ya muhammad bali ulianza na adamu mtume wa kwanzaAsante mkuu nimelifuatilia bandiko lako na link uliyonipa. Nimelazimika kuchimba mambo kadhaa na kugundua kuwa hinduism inakuwa termed as oldest religion on earth nadhani wanatumia kigezo kuwa ukristo ulianzishwa baada ya kuja yesu na uislam umeanzishwa na muhammad miaka takribani 600 baadae wakati huo hinduism ilikuwa hata kabla ya kristo.
Inasemekana kwamba hinduism ilianza wakati wa zama za chuma "iron age". Nikitumia quran kama reference yenyewe inaonyesha kuwa chuma kilianza kutumika enzi za nuhu A.S(kama sijakosea) ambaye hata yeye pia habari zake zinapatikana katika quran. Huoni kama kuna uwezekano kuwa embryology ilifahamika mapema hata huko mashariki ya kati?.
Pia naomba nikukumbushe kuwa quran ni muunganiko wa vitabu vi4 ambavyo ni injili, taurati, zaburi na furqan hivyo muingiliano wa maandiko kutoka kwenye moja wapo ya hivyo vitabu vi4 hapo juu usikukanganye. ALAMSIKI
Kwa m2 mwenye hekima asingeongea haya [emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Mtume mpaka wanja wa manga..
Fala tu huyo alikopi na kupaste kutoka vitabu vya biblia na riwaya za kiyunani huyo korombwe
HUNA ADABU WE! NDIO YESU KAKUFUNDISHA KAULI HIZI KWA WALE WANAOKUZIDI KATIKA JAMII. KUWA NA ADABU KAMA HUWEZI KUJIZUIA KAA KIMYA.Mtume mpaka wanja wa manga..
Fala tu huyo alikopi na kupaste kutoka vitabu vya biblia na riwaya za kiyunani huyo korombwe