Vipi mwanamke atumie vidonge kutoa mimba

Vipi mwanamke atumie vidonge kutoa mimba

still, tanzania sheria haziruhusu utoaji wa mimba na ndio maana vidonge hivyo huuzwa kwa kificho na bei ya juu ukilinganisha kama una prescription ya ulcers
 
still, tanzania sheria haziruhusu utoaji wa mimba na ndio maana vidonge hivyo huuzwa kwa kificho na bei ya juu ukilinganisha kama una prescription ya ulcers

Kuna kipengele anasema mimba iliyotungwa nje ya mfuko wa uzazi inaweza kutolewa kwa njia hii. Nini maoni yako?

Hapo kwenye blue unamaanisha nini?
 
Mkuu! Abortion hata kuijadili tu ni noma! Ni dhambi ya mwisho ambayo mwanadamu anayekata tamaa anaifanya ili azidi kuwepokuwepo duniani kabla ya hukumu kwa Pilato!
 
Mkuu.@Nyakwaratony Mimi pia ninachukia akina dada zetu kutoa mimba hata katika Vitabu vya dini zote mbili kubwa Dini ya Kiislam na ya Kikristo imekatazwa suala la Mwanamke utoaji mimba mimi ninapiga vita sana hilo jambo sijuwi kwa wenzangu mnasemaje?
 
Jambo la kutoa mimba ni dhambi kubwa sana mbele za Mungu, pia kutoa mimba kunaweza kumgharimu mtu sana ktk maisha yake na hata kuhatarisha ndoa yake pale anapoolewa, mimi ni victim wa jambo hili kwani niko kwenye ndoa sasa kwa miaka 12 NO ISSUE, hospital nimeambiwa ni hormonal imbalance na ovarian cyst nimetumia dawa sana lakini imeshindika, pia nimewahi kufanyiwa operation ya fibroid nayo imeshindikana, kwa sasa natafuta REHEMA ZA MUNGU TU ili nami nipate watoto ambao zamani niliona siwahitaji na kuwaua kwa kutoa mimba. Nawashauri wasichana wote msiharibu ujana wenu ili kuepuka hiki ninachopitia mimi
 
Jambo la kutoa mimba ni dhambi kubwa sana mbele za Mungu, pia kutoa mimba kunaweza kumgharimu mtu sana ktk maisha yake na hata kuhatarisha ndoa yake pale anapoolewa, mimi ni victim wa jambo hili kwani niko kwenye ndoa sasa kwa miaka 12 NO ISSUE, hospital nimeambiwa ni hormonal imbalance na ovarian cyst nimetumia dawa sana lakini imeshindika, pia nimewahi kufanyiwa operation ya fibroid nayo imeshindikana, kwa sasa natafuta REHEMA ZA MUNGU TU ili nami nipate watoto ambao zamani niliona siwahitaji na kuwaua kwa kutoa mimba. Nawashauri wasichana wote msiharibu ujana wenu ili kuepuka hiki ninachopitia mimi

maelezo yako yatasaidia wengine wanaotamani kufanya mchezo huu mchafu wa kinyama. Hata wewe dada usikate tamaa rehema za Mungu ni nyingi mno...neno linasema ".......kwa kuwa Mungu hatamtesa mtu hata milele ajapomhuzunisha atamfurahisha kwa wingi wa huruma zake" iko siku atakukumbuka utafurahi.
 
maelezo yako yatasaidia wengine wanaotamani kufanya mchezo huu mchafu wa kinyama. Hata wewe dada usikate tamaa rehema za Mungu ni nyingi mno...neno linasema ".......kwa kuwa Mungu hatamtesa mtu hata milele ajapomhuzunisha atamfurahisha kwa wingi wa huruma zake" iko siku atakukumbuka utafurahi.

asante sana ndugu yangu Ng'wana Ong'wa Kulwa kwa kunitia moyo, be blessed
 
Mkuu.@Nyakwaratony Mimi pia ninachukia akina dada zetu kutoa mimba hata katika Vitabu vya dini zote mbili kubwa Dini ya Kiislam na ya Kikristo imekatazwa suala la Mwanamke utoaji mimba mimi ninapiga vita sana hilo jambo sijuwi kwa wenzangu mnasemaje?

Dr. MziziMkavu hata mie napinga sana hiki kitendo. Ninachoshangaa ni kwanini hawa wazungu walitengeneza hii dawa? na kwanini serikali imeacha hii dawa iuzwe hapa nchini??
 
Last edited by a moderator:
Kuna mazingira ya utoaji mimba eg kama dactar atadhibitisha kuwa kuendelea kuwepo kwa mimba kutapelekea kifo kwa mama mjamzito,then abortion inabid ifanyike.lakin si kujifanyia tu kwa kuwa huitaki mimba.utapata laana
 
Usitoe mimba!wewe ungetolewa je?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom