Tff wamebalansi ligi kwa kuweka refa bora Arajiga na matokeo halisi ya kolowizard yameonekana leo, uwezo wao ni droo tu, na hapa ndo simba washapotea tarehe 8 watakula khamsa kama kawa na kukata tamaa, dhulma huwa haina faida.
Ila mimi Yanga damu ila Kibu Denis ni mchezaji haswa huyu kijana ni wa kufanyia umafia aje jangwani , hakuna jinsi mchezaji bora anafaa kucheza timu bora sio kolo mipango! Hersi chukua kipaji hicho na kuibomoa kabisa Simba , pale kolokoloni mchezaji mmoja tu Kibu, ili tutawale kwa miaka mingi tuchukue Kibu, leo kakiwasha mno.
Kipindi cha pili upande wa Mohamed Hussein kulikuwa na gepu kubwa Azam hawakutumia vizuri , Tshabalala hakuwa na msaidizi tarehe 8 Yanga tupitie huko.