Vipi tena TZ.

 
hahahahahahaha bald men aki nyinyi watu wa south


International media mnawakilisha Africa






 
rent imekua shida?
Eh msee, kumeumana ckuizi. Kwanza ningetaka atumie hiyo juju yake kumanipulate hizo systems za hii realtors company kushow ati nimelipa rent, na kumbe bado. Hapo anaeza nisave sana!
 
Wapi wameandika huyo ni wa kutoka Tz.

Hehehe sio wote huandika kama huyu hapa, ila kwa kweli mumeanza kufuata vipara, aisei nyie majanga. Hadi kicheko, sasa kwenu huko nani yupo salama kweli? Maana kesho mtaibuka na lingine.....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…