Vipi utafiti kama huu wa vichaa ulifanyika Kenya?

Hahaha, kwa utafiti huo basi,
11mn÷47mn Kenyans= 23%,

23% Kenyans have mental disorders.. Hahaha
 
Nadhani tuanzie hapa mm ni mzima watu wa tatu watakao comment chini yangu ni vichaa wa 4 ni mzima wa 3 watakao mfata ni vichaa tuende hivyo mpaka mwisho ukikuta ww ni kichaa usipaniki
 
Nadhani tuanzie hapa mm ni mzima watu wa tatu watakao comment chini yangu ni vichaa wa 4 ni mzima wa 3 watakao mfata ni vichaa tuende hivyo mpaka mwisho ukikuta ww ni kichaa usipaniki
hahaa...sasa mimi sijacomment chini yako,nimekuquote.ntakuwa wapi
 
Reactions: BAK
Huu uzi umenichekesha lol! Hahahahaha
 
Hahahaaaa lakini honestly from his comments anaonekana cool guy sana yaani mtu wa kujimix easily

Kiswahili chake kimeanza kuwa kama cha mzaramo wa kimbiji maana ana vijembe vya kibongo hatareee hadi sometimes nasahau kama ni comment ya jirani
 
 
[emoji23][emoji23] [emoji23] umenimaliza
Tuusan our tanzanian hommie.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]don't worry my nigga elibariki still we are balling together

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Kenya vichaa wamezidi jamani mpaka wanapigana mavi [emoji23][emoji23][emoji23] barabarani
 
Like your sense of humour. EA moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…