Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Ikitogea mgomo katika timu, wachezaji wakagoma maamuzi huwa ni yapi?
Ama wachezaji wakasambaratika kambinu, timu ikakimbiwa na wachezaji wote.
Timu itaruhusiwa kusajiri upya na kuendelea na ligi?
Ama uingozi wa timu ukaamua kuwasimamisha wachezaji.
Ligi itasimama kupisha utatuzi wa mgogolo?
Timu itaondolewa katika ligi na kuangalia point zake hadi mwisho wa msimu?
Jambo la fei toto limechangia kujiuliza hayo na kujaribu kupata uhalali wake pia.
Hakuna jambo lisilowezekana kutokea.
Nawatakia Simba ushindi wa 3 kwa 1 hapo kesho.
Ama wachezaji wakasambaratika kambinu, timu ikakimbiwa na wachezaji wote.
Timu itaruhusiwa kusajiri upya na kuendelea na ligi?
Ama uingozi wa timu ukaamua kuwasimamisha wachezaji.
Ligi itasimama kupisha utatuzi wa mgogolo?
Timu itaondolewa katika ligi na kuangalia point zake hadi mwisho wa msimu?
Jambo la fei toto limechangia kujiuliza hayo na kujaribu kupata uhalali wake pia.
Hakuna jambo lisilowezekana kutokea.
Nawatakia Simba ushindi wa 3 kwa 1 hapo kesho.