Kwa wale waliosoma Same boy's Sec 1990 then kuwa mix skuli ( both gender ) around 1993...... tujikumbushe siku hizo.. Sisi ndio tuliokua kidato cha mwisho kilichoingia skuli hapo kwa jina la Same Boys ...
Mnakumbuka -- Masandare ( kijiji jirani na skuli )
Mwalimu Mziray aka 'kidudu mtu '
Je, picnic za mlima 'kwa koko' .... tunapanda na nyama ya mbuzi full kujiachia...
Na kuna Guest pale town maarufu sana kwa madent... jina limenitoka !!!
Gonjwa lisilo na tiba -- 'Njuka' yaani kidato cha kwanza
Du skendo ya kuwavamia Kirangare Girls Sec usiku wa manane walipokuja skuli kwetu kwa taaluma za maabara ( shule mpya haina maabara ) watoto wa mbwa ukame ulizidi... wakati wa likizo ndefu...
Mabweni ya mastaa wa skuli '' Nkuruma na Lumumba "
Mwalimu aka 'Kilio cha mti', 'Mshamba' real names nimesahau...
'
'Kutoboa' -- Kusoma usiku mzima bila kulala
Cheche - Wali mwanangu
Kuvua -- Kwenda jikoni na kuiba au chakula kabla ya muda halali.. kuchukua kwa magendo ????
Du, yule teacher wa chemistry -- wacha baba na ule mustachi wake...
so many more wana Same Boys Secondary --
Mnakumbuka -- Masandare ( kijiji jirani na skuli )
Mwalimu Mziray aka 'kidudu mtu '
Je, picnic za mlima 'kwa koko' .... tunapanda na nyama ya mbuzi full kujiachia...
Na kuna Guest pale town maarufu sana kwa madent... jina limenitoka !!!
Gonjwa lisilo na tiba -- 'Njuka' yaani kidato cha kwanza
Du skendo ya kuwavamia Kirangare Girls Sec usiku wa manane walipokuja skuli kwetu kwa taaluma za maabara ( shule mpya haina maabara ) watoto wa mbwa ukame ulizidi... wakati wa likizo ndefu...
Mabweni ya mastaa wa skuli '' Nkuruma na Lumumba "
Mwalimu aka 'Kilio cha mti', 'Mshamba' real names nimesahau...
'
'Kutoboa' -- Kusoma usiku mzima bila kulala
Cheche - Wali mwanangu
Kuvua -- Kwenda jikoni na kuiba au chakula kabla ya muda halali.. kuchukua kwa magendo ????
Du, yule teacher wa chemistry -- wacha baba na ule mustachi wake...
so many more wana Same Boys Secondary --