Hii nayo kali ama kweli madaraka ni matamu!mtu waziri bado unataka tena uenyekiti!si ungeridhika tu na nafasi ya uaziri ili ufanye kazi zako kwa ufanisi!sasa UWT nako anataka!
Ikiwa Mwalimu wa kiume harafu darasani kwake kuna msichana ambaye anaweza piga kwezi wanafunzi wenzake mbele yake na hata adhabu ya mwalimu huyo haimtishi basi kwa asilimia 99% mwalimu huyo ana mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi huyo.
Simba Vs Kikwete kunani?? Ni mahusiano gani wanayo zaidi??
Wenda Rais mbovu kuliko wote Duniani akawa JK.
Kwanini JK hakumwambia agombee ccm WAZAZI?
EPA AND MORE EPA...Kuna vigogo wanaojuwa wazi kuwa kama wakipoteza madaraka ndani ya chama kina Nape wanawanyemelea na hapo shughuli ipo.
Upinzani nao wawagawanye ccm kama ccm inavyowagawanya.
Hivi waziri atapata wapi muda hata wa kuongoza jumuia ya Wanawake? Siku hizi watu ni kujilundikia vyeo tu hata kama hawana uwezo au muda wa kutimiza hayo majukumu.
Mtu anakuwa mbunge, waziri, mjumbe wa NEC, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake nk. kweli wana muda wa kutimiza majukumu yote hayo?
Ndio maana hakuna kinachofanyika.
Halafu kweli mtu mpaka amekuwa waziri, bado mpaka agombane kwasababu ya nafasi?
Hiyo ndio GREEDY na hii imetawala sana CCM watu wana vyeo kumi kidogo na ukiangalia how effective & efficient they are; is may be 2% or less, why don't we let other people work for the better of our country? jamani tutaishia wapi na ulafi huu? ni aibu hata wanawake wamekuwa majasusi tu hakuna penye afadhali, phuuuuuuuuu
Shame on you Sophia Simba.