kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ikitokea wakapigwa tena na Namungo au draw hao mashabiki wao wanaweza wasiende kabisa viwanjani au kuangalia mpira kwenye TV ,maana huku mtaani kwetu tunatembea na helments ,mda wowote jiwe linaweza kutua kichwani maana wamevurugwa
Kengold na coastal pia. Shida ilianza siku nyingi Mpira walikuwa wanacheza Marefa😂👏Kukosa Kayoko Mechi na Simba vipigo vingekuwa vinahesabika vinne...!