Baada ya matibabu kiasi cha mwezi mmoja kwa ajili ya kuvimba kwa bwelewe la kulia lililoonyesha ndani kuzunguukwa na clear fluid kiasi cha 2.7x2.7cm na kusababisha epididymis kuvimba(nashindwa namna ya kuatachi kipimo cha ultra sound ningekiatachi)hali yangu upande huo sio nzuri nilipewa dawa za siku 14 leo ni siku ya 10 hali si shwari,naombeni ushauri.
Baada ya matibabu kiasi cha mwezi mmoja kwa ajili ya kuvimba kwa bwelewe la kulia lililoonyesha ndani kuzunguukwa na clear fluid kiasi cha 2.7x2.7cm na kusababisha epididymis kuvimba(nashindwa namna ya kuatachi kipimo cha ultra sound ningekiatachi)hali yangu upande huo sio nzuri nilipewa dawa za siku 14 leo ni siku ya 10 hali si shwari,naombeni ushauri.