Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Habari za wakati huu.Kama kawaida yangu huwa napenda kuleta mada na mijadala mbalimbali inayohusu biashara na ujasiriamali.Mijadala hii inalenga zaidi kupeana mbinu,ujuzi na uzoefu ambao utakuwezesha wewe mfanyabiashara mdogo uweze kufahamu kwamba kufanikiwa katika biashara sio swala la bahati bali ni swala ambalo linahitaji kujipanga na kufanya mambo kwa usahihi na uhakika.Leo ninawaletea vipimo saba vya kimakakati kwa ajili ya kufahamu iwapo biashara yako inaelekea katika njia sahihi.Vipimo hivi ingawa sio vya ukomo vitakupa mwangaza wa namna ya kuitazam biashara yako na kufahamu iwapo kuna uwezekano wa biashara yako kukua na kupiga hatua.Ukivitumia vipimo hivi unaweza kutambua uelekeo wa biashara yako na kufahamu matatizo na kuyarekebisha kabla hayajaleta madhara kwako.
Karibu tujadili namna bora za kupiama ufanisi wako binafsi na ufanisi wa kampuni au biashara yako.Mbinu hii inaweza kutumika katika biashara ndogo au kubwa naitakupa mwanga wa iwapo biashara yako iko tayari kimkakati katika kuweza kukua na kufanikiwa katika ulimwengu wa kibiashara.Iwapo ungependa biashara au kampuni yako ifanyiwe Vipimo hivi vya ufanisi wa kimkakati tafadhali wasiliana nasi kwa Email masokotz@yahoo.com nasi tutashirikiana nawe pamoja na wataalamu wako katika kuhakikisha kwamba tunakupatia huduma bora na za uhakika.
Karibu tujadili mbinu nyingi za kupima ufanisi wa biashara yako.
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na kuzitumia kwa ajili ya kukuza biashara zao na kukuza faida.Lengo letu ni kuwasaidi wafanyabiasha wadogo na wakati kubadilisha na kuboresha mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa biashara zao ili ziendane na dunia ya kisasa kwa kuwawezesha kufikia zana za kisasa,utaalamu wa kisasa na teknolojia katika kuendesha biashara zao.
Sisi tunatoa huduma ya usajili wa Majina ya biashara,kampuni,leseni,TIN number NGOs,Taasisi za Kijamii,SACCOS,Taasisi za KIDINI,Taasisi za ELIMU,Viwanda,UWEKEZAJI na pia tunatoa ushauri juu ya namna bora ya kuendesha biashara yako.Unaweza kupata huduma hizo kwa gharama nafuu.Baadhi ya huduma hizo ni pamoja na:
Huduma hizi zinapatikana kwa pamoja au kwa moja moja na mfumo wetu wa malipo ni nafuu na unazingatia matokea katika kila hatua.Kama unahitaji huduma zetu wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au kwa simu +255710323060.
- Mkakati
- Muundo
- Mfumo
- Mbinu za pamoja
- Mtindo
- Mfanyakazi
- Ujuzi
Karibu tujadili namna bora za kupiama ufanisi wako binafsi na ufanisi wa kampuni au biashara yako.Mbinu hii inaweza kutumika katika biashara ndogo au kubwa naitakupa mwanga wa iwapo biashara yako iko tayari kimkakati katika kuweza kukua na kufanikiwa katika ulimwengu wa kibiashara.Iwapo ungependa biashara au kampuni yako ifanyiwe Vipimo hivi vya ufanisi wa kimkakati tafadhali wasiliana nasi kwa Email masokotz@yahoo.com nasi tutashirikiana nawe pamoja na wataalamu wako katika kuhakikisha kwamba tunakupatia huduma bora na za uhakika.
Karibu tujadili mbinu nyingi za kupima ufanisi wa biashara yako.
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na kuzitumia kwa ajili ya kukuza biashara zao na kukuza faida.Lengo letu ni kuwasaidi wafanyabiasha wadogo na wakati kubadilisha na kuboresha mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa biashara zao ili ziendane na dunia ya kisasa kwa kuwawezesha kufikia zana za kisasa,utaalamu wa kisasa na teknolojia katika kuendesha biashara zao.
Sisi tunatoa huduma ya usajili wa Majina ya biashara,kampuni,leseni,TIN number NGOs,Taasisi za Kijamii,SACCOS,Taasisi za KIDINI,Taasisi za ELIMU,Viwanda,UWEKEZAJI na pia tunatoa ushauri juu ya namna bora ya kuendesha biashara yako.Unaweza kupata huduma hizo kwa gharama nafuu.Baadhi ya huduma hizo ni pamoja na:
- Kwanza tutakushauri kuhusu muundo wa biashara yako faida na hasara pamoja fursa mbalimbali
- Pili tutakufanyia utafiti na ushauri wa Jina la Biashara yako kwa kuzingatia vigezo vya SOKO
- Tutakufanyia Taratibu zote za usajili kuanzia Uandaaji wa Nyaraka Mpaka Kukamilika kwa Usajili Kampuni,TRA,Mashine za EFD na VFD,Vibali vya TBS pamoja na leseni
- Tutakuandikia Company Profile ya Kisasa kwa Lugha ya Kiingereza na Kiswahili
- Kama unahitaji mkopo kutoka katika taasisi za fedha tutakusaidia kufanya mchakato kwa kuzingatia mahitaji yako na vigezo vya taasisi husika.
- Tutakutengenezea Website ya kisasa kwa ajili ya Biashara na huduma zako.
- Tutakutengenezea, Logo, Business Card,Letter Head pamoja na Nyaraka nyingine za Kibiashara
- Tutakupatia Mfumo wa Kutunza kumbukumbu kwa njia ya Mtandao au kwenye Computer yako kwa ajili ya kusimamia Biashara yako
- Tutakufanyia Initial Marketing kwa Wateja wako (Inategemea aina ya biashara )wa Mwanzo ili kuwa na customer base ya kuanzia
- Pia tutakusaidia Mchakato wa Kufungua Bank Account kwa kutumia jina la Biashara yako (Deposit Ya Kwako)
- Tutakuwa nawe katika mchakato mzima wa kuendesha biashara yako mpaka itakapokuwa stable na wewe kupata uzoefu wa kutosha katika biashara yako.
Huduma hizi zinapatikana kwa pamoja au kwa moja moja na mfumo wetu wa malipo ni nafuu na unazingatia matokea katika kila hatua.Kama unahitaji huduma zetu wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au kwa simu +255710323060.