kombora jipya
Member
- Feb 21, 2015
- 20
- 2
Napenda kujua kwa kina ni muda gani mtu endapo mtu akijamiana na mtu mwenye VVU anaweza pimwa na kukuta ana maambukizi n kweli kwamba kwa sasa inawezekana akabainika ndani ya masaa 24???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nooooooooooooooooooooooooooooooooooo. Nenda kampime partner uliyekutana naye. Kama anao, kimbia Hospital wakakupe dawa zinazoitwa PEP. Fanya hivyo ikiwa ni ndani ya masaa 48 tangu mkutane.Napenda kujua kwa kina ni muda gani mtu endapo mtu akijamiana na mtu mwenye VVU anaweza pimwa na kukuta ana maambukizi n kweli kwamba kwa sasa inawezekana akabainika ndani ya masaa 24???
We jamaa vp. Yaani leo tunakusoma wewe tu!!! Aisee. Thread ya nne hii unadandia. UnaboaJe una matatizo yafuatayo katika tendo la ndoa
1. Kuwai kumaliza chini ya dk kumi
2. Uume kusinya ukiwa uken au kabla hujaingiza
3. Uume legelege mda mwingine kushindwa kuingiza uken
4.manii machache na mepesi
5.kushindwa kurudia round ya pili tatu nne au tano
6.kuchoka baada ya round ya kwanza
Kwa kutumia matunda tu ntatoa formula yaan maelezo jins ya kuandaa hayo matunda ukiwa nyumban na kupona kabisa ndani ya siku 3/5/714 inategemea na ukubwa wa tatizo ni matunda bila kemika
Gharama ni elfu 20
Njia ya malipo ni online kwa tigopes mpes kwa namba hii moja 0712505049
Au ofisin chanika mwisho karibu n kisarawe yalipo makazi yangu na ofisi
Utapona kabis kama hujazaliwa na tatizo napia lilitokana na punyeto au vyakula kama wali chips soup soda na kemikali
Wasiliana na dr kwa 012505049
Una hofu ya kuambukizwa Jana? Pima mapema na uanze sawa mapeme. Kadiri utakavyoanza dozi mapema ndivyo vvu vitafubaa zaidi na kukufanya na kuwa fiti.Napenda kujua kwa kina ni muda gani mtu endapo mtu akijamiana na mtu mwenye VVU anaweza pimwa na kukuta ana maambukizi n kweli kwamba kwa sasa inawezekana akabainika ndani ya masaa 24???
Hii ndio inakuwaje?Kafanye HIV elisa
nasikia kubavyouzwa kwenye maduka ya dawaHaiwezekani kujua maambukizi katika muda wa masaa wa masaa 24.
Kipimo cha kawaida(Bioline, Determine, Unigold) ni baada ya miezi mitatu.
Kipimo kikubwa cha kisasa cha kimaabara(PCR) ni baada ya wiki mbili.
siku 26 or 1month unapata majibu kamili..... sd bioline 3.0 kipimo hichoo
Sent from my HUAWEI P8max using JamiiForums mo
JIBU SAHII SANANooooooooooooooooooooooooooooooooooo. Nenda kampime partner uliyekutana naye. Kama anao, kimbia Hospital wakakupe dawa zinazoitwa PEP. Fanya hivyo ikiwa ni ndani ya masaa 48 tangu mkutane.
JIBU SAHII SANANooooooooooooooooooooooooooooooooooo. Nenda kampime partner uliyekutana naye. Kama anao, kimbia Hospital wakakupe dawa zinazoitwa PEP. Fanya hivyo ikiwa ni ndani ya masaa 48 tangu mkutane.