Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Leo nimepima presha nimepata katika vituo vitatu tofauti majibu yamekuja tofauti tofauti.
Cha kwanza ilikuja 152/80/67 nikamwomba arudie ikaja 146/79/68.
Nikenda kituo cha pili nilipata 156/83/64 nikamwomba arudie ikaja 132/84/69 nikaenda kituo kingine nikapata 130/78/71.
Wataalamu naombeni ushauri wenu hapa napaswa kuanza tiba ya kushusha?
Sijisikii kuumwa, nipo normal.
Situmii pombe.
Cha kwanza ilikuja 152/80/67 nikamwomba arudie ikaja 146/79/68.
Nikenda kituo cha pili nilipata 156/83/64 nikamwomba arudie ikaja 132/84/69 nikaenda kituo kingine nikapata 130/78/71.
Wataalamu naombeni ushauri wenu hapa napaswa kuanza tiba ya kushusha?
Sijisikii kuumwa, nipo normal.
Situmii pombe.