Kabisaa asee....Kuna vijana wazuri wenye ethic and code of journalism Ila hawapati nafasi,utangazaji umekuwa sio professional,mradi ujue kuongea na kuropoka tu au umaarufu tiyari wewe Ni mtangazaji.niwachache katika hivi vyombo vya habari Wana waledi.angalia redio zinazo fanya vizuri asilimia kubwa Zina professional