Hii nchi sasa tunakoelekea mi naona siko!
Takriban radio zote zinachezesha kamari na ukifuatilia muda mwingi wa vipindi, niseme tu asilimia kubwa ya muda wao maudhui ni kamari. Je, tunajenga taifa la namna gani? Je, Serikali imeangalia inakuwaje hizi radio zinaruhusiwa kucheza kamari toka lafajir hadi usiku wa manane?
Je, Memorandum and articles of association za radio hizi zinaruhusu wamiliki wa radio kuchezesha kamari? Je, wana leseni za kuchezesha kamari? Brela kweli imetoa leseni kwa radio kuchezesha kamari? Je, hayo ndo malengo ya radio kuchezesha kamari?
Kwa kweli inanifikirisha sana haipiti dakika tano bila kusikia wasikilizaji wakihamasishwa kucheza kamari.
Je tunajenga taifa la aina gani?
Je, radio zimeshindwa kujiendesha mpaka zichezeshe kamari?
Mimi nadhani serikali inastahili kuingilia kati suala hili kabla halijaleta athari kubwa katika jamii yetu ikiwemo kupiga marufuku wenye radio kuchezesha kamari na kupiga marufuku maangazo yoyote ya radio moja kwa moja yahusuyo kupromote kamari.
Kama wanataka waanzishe kampuni za kamari na wasutumie radio kutangaza.
Mchelea mwana kulia hulia yeye.
Takriban radio zote zinachezesha kamari na ukifuatilia muda mwingi wa vipindi, niseme tu asilimia kubwa ya muda wao maudhui ni kamari. Je, tunajenga taifa la namna gani? Je, Serikali imeangalia inakuwaje hizi radio zinaruhusiwa kucheza kamari toka lafajir hadi usiku wa manane?
Je, Memorandum and articles of association za radio hizi zinaruhusu wamiliki wa radio kuchezesha kamari? Je, wana leseni za kuchezesha kamari? Brela kweli imetoa leseni kwa radio kuchezesha kamari? Je, hayo ndo malengo ya radio kuchezesha kamari?
Kwa kweli inanifikirisha sana haipiti dakika tano bila kusikia wasikilizaji wakihamasishwa kucheza kamari.
Je tunajenga taifa la aina gani?
Je, radio zimeshindwa kujiendesha mpaka zichezeshe kamari?
Mimi nadhani serikali inastahili kuingilia kati suala hili kabla halijaleta athari kubwa katika jamii yetu ikiwemo kupiga marufuku wenye radio kuchezesha kamari na kupiga marufuku maangazo yoyote ya radio moja kwa moja yahusuyo kupromote kamari.
Kama wanataka waanzishe kampuni za kamari na wasutumie radio kutangaza.
Mchelea mwana kulia hulia yeye.