Vipingamizi na namna ya kuvijibu

Vipingamizi na namna ya kuvijibu

Lazaro Samwel

Member
Joined
Apr 27, 2019
Posts
33
Reaction score
26
0FE8AB70-1AB6-442F-86E8-5FD0E5776A09.jpg


Umeshawahi kukutana na mteja alafu haujui utaongea naye nini ili uuze kwa wepesi bidhaa yako? ⁣

Au umekutana na mteja alafu ukaongea naye kuhusiana na bidhaa yako lakini mwisho wa siku anakwamba “SINA HELA KWA SASAHIVI...” au anakwambia “NITAKUPA JIBU....” au “NAOMBA WIKI NITAKUWA TAYARI...” ⁣

Baada ya pale mteja yule anapotea kabisa au hapokei tena simu yako..⁣

Hii imeshawahi kukutokea..⁣

Kwa upande wako uliichukuliaje? ⁣

Najua huwa inakera sana haswa kwa wale ambao wanafanya BIASHARA YA MTANDAO/NETWORK MARKETING⁣

Sasa naomba usipate shida sana juu ya ya kujibu vipingamizi mbalimbali vya wateja ili uwe kufanya mauzo kwa wepesi.⁣

Kuna hii EBOOK ambayo nimeiandaa na ndani yake inakupa mwongozo wa namna ya kuweza kuongea na mteja wako na kujibu vipingamizi vyake ili uweze kufunga mahesabu..⁣

Kikawaida ebook hii huwa inapatikana kwa 5,000/= lakini kwa wewe rafiki yangu wa INSTAGRAM leo hii na kesho utakipata kwa ofa ya 3,000/= tuuu ⁣

Hakikisha unachangamkia ofa hii mapema na utanishukuru siku moja. ⁣

Fanya malipo kwenye namba hizi; ⁣
0678010334 / 0753616584 / 06839111049 - Lazaro Samwel Nalingigwa⁣

Alafu nitumie ujumbe wa neno TAYARI Dm/INBOX nami nitakutumia kitabu chako.⁣




d3723f64-b0a9-499d-af84-3b3de88bb679.jpg
 
Back
Top Bottom