DOKEZO Vipodozi vilivyopigwa marufuku vinauzwa kama njugu Matu-Kitetoi, serikali iingilie kati

DOKEZO Vipodozi vilivyopigwa marufuku vinauzwa kama njugu Matu-Kitetoi, serikali iingilie kati

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Jun 6, 2024
Posts
5
Reaction score
2
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na Serikali.

Tunaomba huyu agent aliye mji mdogo wa Matui - Kiteto adhibitiwe, hivi Vipodozi vyake haramu vina madhara kwa binadamu.

Mzigo wa Vipodozi haramu unahifadhiwa store ambayo ipo jirani na Duka lake Vipodozi. Huyu bwana maarufu hapa Matui kwa kuuza vipodozi haramu, kila mtu anamfahamu kwa hilo jina la Dealer wa Vipodozi Haramu.
 
Tunataka wanaume kama wewe wenye confidence ya kutosha

Jamaa katajwa bila kuogopwa. Shida nikwamba anahamisha hapo stoo na kupeleka sehemu ingine hawatakuta kitu asee.


NB:WANAUME WANAOJIKIRIMU ANDAA MAJI YAKUTOSHA MAANA POVU LITAWATOKA KAMA WANAKIFAFA
 
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na Serikali.

Tunaomba huyu agent aliye mji mdogo wa Matui - Kiteto adhibitiwe, hivi Vipodozi vyake haramu vina madhara kwa binadamu.

Mzigo wa Vipodozi haramu unahifadhiwa store ambayo ipo jirani na Duka lake Vipodozi. Huyu bwana maarufu hapa Matui kwa kuuza vipodozi haramu, kila mtu anamfahamu kwa hilo jina la Dealer wa Vipodozi Haramu.
Mkuu Vipodozi Haramu , bei ya heka moja ya shamba sehemu nzuri ni bei gani sasa hivi hapo Matui?
 
Wahusika umewapa info zote washindwe wao Tu!
 
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na Serikali.

Tunaomba huyu agent aliye mji mdogo wa Matui - Kiteto adhibitiwe, hivi Vipodozi vyake haramu vina madhara kwa binadamu.

Mzigo wa Vipodozi haramu unahifadhiwa store ambayo ipo jirani na Duka lake Vipodozi. Huyu bwana maarufu hapa Matui kwa kuuza vipodozi haramu, kila mtu anamfahamu kwa hilo jina la Dealer wa Vipodozi Haramu.
Ukiona kimya jua huo ni mradi wa wale wa uchafuzi wa chaguzi,vinginevyo watashughulika nalo mapema iwezekanavyo,kwani enzi hii shamba la bibi kila uchafu unamwagwamoo,hadi vilainishi na uchafu mwingine na wenye mamlaka wamegeuka babu kama sii wamegeuzwa bubu☺️
 
Vipodozi haramu ndio vinakuaje mkuu
Fika Dukani Kwa Mody Vipodozi umulize akuonyeshe anazo sample nyingi tu
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na Serikali.

Tunaomba huyu agent aliye mji mdogo wa Matui - Kiteto adhibitiwe, hivi Vipodozi vyake haramu vina madhara kwa binadamu.

Mzigo wa Vipodozi haramu unahifadhiwa store ambayo ipo jirani na Duka lake Vipodozi. Huyu bwana maarufu hapa Matui kwa kuuza vipodozi haramu, kila mtu anamfahamu kwa hilo jina la Dealer wa Vipodozi Haramu.

Vipodozi haramu ndio vinakuaje mkuu
Karibu Matui Kwa Modi Vipodozi , uobe hivyo Vipodozi Haramu vikojee, huyu ni agent mkubwa wa kussuply mizigo Haramu yote
 
Hivi Vipodozi Haramu Vilivyopigwa Marufuku vimemtajirosha ukiangalia Miamala ya kwenye Akaunt yake Imenona Kila week anapokwa mamilioni kwenye hiyo mizigo ya Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa
 
Fika Dukani Kwa Mody Vipodozi umulize akuonyeshe anazo sample nyingi tu



Karibu Matui Kwa Modi Vipodozi , uobe hivyo Vipodozi Haramu vikojee, huyu ni agent mkubwa wa kussuply mizigo Haramu yote
Haramu gani nyingine anayouza mkuu
 
Kwasasa anasafirisha Hivyo Vipodozi anaficha kwenye magunia ya Mahindi na Alizeti. Anaweka katikati ya magunia ya Alizeti na Mahindi Eli asafirishe Kwa urahisi. Huyo ndio Modi Vipodozi Don wa Vipodozi ukanada wa Kiteto - Manyara
 
Nani huyu anapata mapesa yote peke yake. Kisha anatuibia madem zetu. Alisikika mkaazi mmoja wa Mbwilo akinena na kusikitika
 
Ni kweli jamaa anavunja sheria lakini wanunuzi wamefosiwa ? Je wewe raia mwema A.K.A mzalendo uchwara ni kipi kinachokuuma yeye kuuza magendo ?

Finally but not least jifunze kuhangaika na maisha yako ,waache wakiotayari kurisk maisha kwaajili ya future zao watoboe .

Ila jua ni ndani ya hili juma huyo bwana atashughulikiwa .
 
Back
Top Bottom