Vipuri feki upande wa simu ni vingi nchini

Vipuri feki upande wa simu ni vingi nchini

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Wakuu mimi ni fundi simu, changamoto niliyoona kwa spear za simu bongo feki ni nyingi sana na hiyo nimegundua baada ya kuanza kuagiza baadhi ya spears AliExpress.

Nikagundua bongo feki nyingi, inafanya wateja wapoteze uaminifu na sisi maana anaona kama umefanya kusudi kumbe la hasha ni soko lilivyo.
 
Ngoja tumalizane na mabahewa ya SGR na kauli ya Mzee Makamba then tutalitazama na hilo ndugu mwananchi maana serikali ya Dr Samia ni sikivu

"tbs ni takataka kabisa"
 
Nilimfungia mteja kioo cha nyuma cha Samsung ndani ya wiki kimevunjika na kuna mteja nilimuagizia na aliexpress kilikua kigumu mno na imara kweli kweli
 
Wakuu mimi ni fundi simu, changamoto niliyoona kwa spear za simu bongo feki ni nyingi sana na hiyo nimegundua baada ya kuanza kuagiza baadhi ya spears AliExpress.

Nikagundua bongo feki nyingi, inafanya wateja wapoteze uaminifu na sisi maana anaona kama umefanya kusudi kumbe la hasha ni soko lilivyo.
Acha kuagiza "spears" agiza spares, hiyo mishale utaitumiaje kwenye simu!
 
Back
Top Bottom