Virgil van Dijk na Koulibaly Uefa watafute utaratibu mpya wakupata wachezaji bora wa ulaya

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hivi kiukweli hata kama mimi ni shabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nini mwafrika mwezetu raia wa Senegal, Koulibaly? Au ndo ubaguzi wa rangi huu?
 
Nilisema Tuzo walizopata huyu beki wa liver na kiungo wa real madrid..ni kama zimewapyaya sana....ona goli la kizembe vile....yaani fifa wanahangaika sana ili tu kui force balance lakini dunia hii hadi sasa mfalme wa kumzidi La Pulga bado kutokea !
 
I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hv kiukweli ata kama mm nishabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nn mwafrika mwezetu raia wa Senegal Koulibaly? au ndo ubaguzi wa rangi huu?
Wote ni weusi
 
Loose X
Lose V


I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hv kiukweli ata kama mm nishabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nn mwafrika mwezetu raia wa Senegal Koulibaly? au ndo ubaguzi wa rangi huu?
 
Mbona hata Van djik ni Mweusi, au kisa anachezea uholanzi unadhani ni mzungu?
Halaf akumbuke pia, hyo tuzo alopewa ni kwa ajili ya msimu ule, kama hatoqualify tena msim huu bhas watapewaga hao kina viroboto wao.
 
Mbona hata Van djik ni Mweusi, au kisa anachezea uholanzi unadhani ni mzungu?
I didn't take much time to know about him sorry for that but what Koulibaly did for us yesterday was something un terrible.
 
Nilisema Tuzo walizopata huyu beki wa liver na kiungo wa real madrid..ni kama zimewapyaya sana....ona goli la kizembe vile....yaani fifa wanahangaika sana ili tu kui force balance lakini dunia hii hadi sasa mfalme wa kumzidi La Pulga bado kutokea !
Kwahiyo unahisi lapulga uwa hakosi magoli kwa uzembe?mpira ni mchezo wa makosa hakuna mcheza mpira hasiye kosea,
 
Liverpool msimu uliopita tukicheza nao hao napoli walitufunga kwao na sisi tukawafunga kwetu,nenda youtube uone salah alichomfanya huyo kolibaly wenu,weka statistics mkuu usilinganishe kwa mapenzi yako binafsi
Sorry mkuu mm nadhni unanikosea kabisa maana kiukweli mm ni liverpool damudamu au kindakindaki hapa nimezungumzia nilichokiona jana though sio kwamba wakija Anfried watatufunga tena.
 
I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hv kiukweli ata kama mm nishabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nn mwafrika mwezetu raia wa Senegal Koulibaly? au ndo ubaguzi wa rangi huu?
Acha kushabikia soka, hujui mpira,, unaaangalia mechi kwa matukio unakuja kupiga kelele, mechi ya Napoli vs Juve hukuiona Koulibaly alivojifunga goli la ushindi, Huyo messi anakosaga magoli ya wazi tuu na penalty, CR7 vilevile , kama unajua soka huwezi judge kwa hivo
 
Mkuu sasa mm nimejudge nn kwa mfano kiasi cha kuniwashia moto kama wa musiba kiasi hcho? Kwa mechi ya jana Koulibaly was in his best full stop.
 
Kwangu mm naamini koulibaly beki bora kuliko VD, maneno yangu siyo sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…