VIROBA, RAMMBO Vipelekwe makumbusho kwa manufaa ya kizazi kijacho.

VIROBA, RAMMBO Vipelekwe makumbusho kwa manufaa ya kizazi kijacho.

UZZIMMA

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
414
Reaction score
481
Naam, naona vitu mbalimbali vinakatazwa. Natumaini kwa kizazi kijacho hawatajua nini maana ya Rambo wala viroba.

Hivyo naishauri serikali vitu hivi viwekwe Makumbusho, natumaini vitaongeza pato la taifa kwa staili nyengine.

Na wewe ongezea vyako, vilivyokatazwa na vinastahili kuwekwa Makumbusho, kwaajili ya kizazi kijacho.
 
Wale maadui watatu wa taifa wanaopigwa vita nawenyewe wapelekwe joh.
 
Back
Top Bottom