Viroja vya CHADEMA havina ukomo

Viroja vya CHADEMA havina ukomo

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
245
Reaction score
314
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!
CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni? Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema? Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
Sasa umeandika nini?
Mbona hukujitokeza kuzungumzia haki za wagombea wa vyama vya upinzani wanapoenda ofisi za watendaji wanakuta zimefungwa?

Huu uhaini wenu ipo siku utawaisha. Kumbukeni mnaowafanyia haya ni watu pia nao
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
MWENYE MASIKIO ASIKIE POINT HIZI NI WAJINGA TU NDIYO WATAHOJI KIJINGA
 
Aseee CCM IMEKUHARIBU wewe hapo?? Jman kwa heri aseeeeeee..... Sina kusema na wewe utakuwa bado unaishi nyumban kwa wazazi wako wewe
Nguvu ulizotumia kuanzisha thread hii ungetumia kukanda na kusukuma chapati mumeo ale hakika ungedumisha ndoa yako! Hayo mambo ya uchaguzi huyaelewi zungumzia yaliyo size yako.
IMG_20191108_082755.jpeg
 
Kweli tatizo hawa chadema wanajifanya wanaakili kuliko wengine mwanzo walisusia kujiandikisha baada kuona ngoma ngumu katika uchaguzi wakafanya makusudi kukosea kujaza fomu ili wakatwe wapate huruma ya watu na wapate sababu ya kususia uchaguzi kukwepa aibu hadi lini chadema itajificha chini ya kivuli chake
 
Nini maana ya mapingamizi na mahakama.

Ukweli hasa mmeuficha wakati ikieleweka dhahiri ni ukata.

Mbowe kadaiwa hela alizokuwa akiwakata wabunge,lakini wapi?

Hakuna majibu wala ile ruzuku ya milioni 600 nayo imeyeyuka.

Mwenyekiti wa chadema kilimanjaro alitoa kauli tosha,
Kwamba hawakuweka wagombea sehemu nyingi kutokana na ukata.
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
haya kapokee buku 7 yako upesi.
 
Kweli tatizo hawa chadema wanajifanya wanaakili kuliko wengine mwanzo walisusia kujiandikisha baada kuona ngoma ngumu katika uchaguzi wakafanya makusudi kukosea kujaza fomu ili wakatwe wapate huruma ya watu na wapate sababu ya kususia uchaguzi kukwepa aibu hadi lini chadema itajificha chini ya kivuli chake
mkuu hakika wewe una akili nyingi sana katika ukoo wenu na CCM kwa ujumla. safi sana.
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
Unayo hoja ya msingi
 
Kweli tatizo hawa chadema wanajifanya wanaakili kuliko wengine mwanzo walisusia kujiandikisha baada kuona ngoma ngumu katika uchaguzi wakafanya makusudi kukosea kujaza fomu ili wakatwe wapate huruma ya watu na wapate sababu ya kususia uchaguzi kukwepa aibu hadi lini chadema itajificha chini ya kivuli chake
ivi walipo susia kujiandikisha kiwango cha walio jiandikisha kilikuwaje (jafo anajua chini ya asilimia 18% )

walipo hamasisha ndani ya siku 3 ikasoma 100+ ilivuka hadi lengo

haitakuwa ajabu mwenyekiti kupita kwa kura 34 kati ya mia 5 walio jiandikisha
 
Kuhalalisha uchaguzi haramu uonekane halali kwa mgongo wa Chadema mmechemka labda mtumieni Zitto na Act yake.
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
Ungewashauri ccm wasiviogope vyama vya Upinzani
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
Upuuzi ni huu unaofanya wewe kuandika mambo ya kipumbavu ukiamini kuwa utapata uteuzi.
 
Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura.

Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao.

Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA kuna Chama kimoja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba huenda wakajikuta ni wao peke yao ndio wamesusa. Watakuta kura inashirikisha vyama vingi. Hata ACT kususa sijui!

CHADEMA keshajua karibuni hakitakuwa chama kikuu cha upinzani! Nafasi hiyo itachukuliwa na ACT na ki na ZITTO wanajua!

Ukiwasikiliza kina mbowe, Jacob, Lema na wenzao utabaini kuwa wanadhani wataweza kususia local government! Ni kujidanganya kulekule!

Hivi tuseme local government imeleta maji au umeme mtaani ni nani mjinga atasusia kwa kuwa tu Mbowe kasema? Au tuseme mtaani kumeingia kipindupindu Serikali ya mtaa ikapiga marufuku kupika na kula magengeni?

Mama ntilie atapika akiulizwa adai hatoi ushirikiano kwa serikali ya mtaa? Itokee Serikali ijenge shule au zahanati unataraji mtu asusie huduma ya elimu na matibabu kisa Lema au Jacob kasema?

Mtu atakataa kulipa kodi adai hataki kutoa ushirikiano na serikali? Si atafungwa?

Hivi viongozi wenye akili zilizopauka hivi ndio tuwape Ikulu?

Mbowe anadai hataki kwenda kufungua shauri mahakamani eti kwa kuwa anahesabu hakuna uchaguzi hivyo hajui ashitaki nini? Kweli? Sio hawa wamefanya Kisutu makazi yao kwa kufungua na kufunguliwa kesi pale? Leo anapaogopa?

Hivi kweli wana ushahidi au ni mpango wao toka awali? Chadema wawe na ushahidi lakini wakatae kuupeleka Kisutu? Mbona haielekei? Hawa hawana ushahidi!

Lakini hivi wamewaza implications za wao kususa? Wanajua hasara ya kukosa kushiriki local government? Hawajui ni kujitenga au kujiweka mbali na wapiga kura? Watawezaje kudhibiti mapato na matumizi ya serikali? Watapiga ramli?

Je wamefikiria implications kwa uchaguzi mkuu ujao? Watashiriki? Si itakuwa kichekesho? Sawa mtoto agome kwenda vidudu asubiri Hadi afikie umri wa kwenda chuo kikuu ndio ajifanye anapenda kusoma!

Na ikiwa watashiriki wana uhakika upi kuwa haya makosa ya sasa hayatajirudia oktoba 2020?

Hivi wabunge wenu watakubali msusie? Mawe! Mtashiriki hivyohivyo! Sawa mbuzi vingunguti kila mmoja anadhani mwenzie ndio atachinjwa yeye atapona!

Kuna jambo moja kubwa linawadaa! Kudhani wana nguvu ya umma! NI mpaka watakapotambua adui yao ndiye ana nguvu ya umma na ya dola ndipo watakapopanga mambo Yao uzuri.

Ukweli ni kwamba kwa nguvu ya umma na ya dola iliyonayo CCM ni kujidanganya kudhani eti nchi itasimama siku ya kura au mamilioni ya watu watamwagika mabarabarani kufanya vurugu!

It's just a matter of time! Uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu. Serikali zote 2 za mitaa na Serikali kuu zitafanya kazi huku nyie mkilalamikia ndani ya visanduku vya Twitter!

Mtagombana wenyewe kwa wenyewe!

Uamuzi huu ndio umeweka wazi udhaifu wa Mbowe kiuongozi! Time to change him otherwise....!

Tanzania na watanzania wamebarikiwa amani! Hamna wa kufanya wauane.

Ushauri wangu kwa kina ACT, TLP, NCCR, NLD, CUF na wenzao msiige huu upuuzi. KUFA KUFAANA!
Hata sijamuelewa huyu mtu
 
Kwenye upigaji hatalazimishwa mtu, walilazimisha watumishi wa serikali kajiandikisha, tena kwa vitisho.. lakini si kwenye upigaji wa kura. Halafu haya Mambo hayajifichi, hayafanyikii gizani, ulimwengu unayaona.

Hata Trump akitutukana, wakati mwingine tusimlaumu..
Inashangaza waliojitoa ni Chadema ila wanaolalamika ni Ccm.Kuna nini hapo?
 
Back
Top Bottom