Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 700
Jamani neno "virusi" limeingia katika lugha.
Wengu huandika "Virusi vya UKIMWI", "virusi vya kompyuta".
Lakini hii ina matata. Nimeshaona watu wanaoandika "virusi vya kompyuta ni hatari; wiki iliyopita kirusi kipya..."
Hii inaonyesha udhaifu wa kawaida hii;: namna gani kutofautisha kati ya virusi 1 (virusi kimoja? virusi vimoja ????) na virusi 100 (virusi vingi?).
Mimi naona afadhali tukubaliane "virusi" ni neno la Kilatini kilichoingia hapa kupitia Kiingereza na kama maneno yale mengi tuseme
virusi ya kompyuta, virusi ya UKIMWI kama ni 1
virusi za kompyuta nyingi ....
Mnaonaje ?
Wengu huandika "Virusi vya UKIMWI", "virusi vya kompyuta".
Lakini hii ina matata. Nimeshaona watu wanaoandika "virusi vya kompyuta ni hatari; wiki iliyopita kirusi kipya..."
Hii inaonyesha udhaifu wa kawaida hii;: namna gani kutofautisha kati ya virusi 1 (virusi kimoja? virusi vimoja ????) na virusi 100 (virusi vingi?).
Mimi naona afadhali tukubaliane "virusi" ni neno la Kilatini kilichoingia hapa kupitia Kiingereza na kama maneno yale mengi tuseme
virusi ya kompyuta, virusi ya UKIMWI kama ni 1
virusi za kompyuta nyingi ....
Mnaonaje ?