Virutubisho na faida za Tangawizi kwa afya

Virutubisho na faida za Tangawizi kwa afya

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Ni mzizi ulio na faida kubwa sana kwa afya. Vyanzo vya kihistoria vinataja asili ya mzizi huu kuwa ni Kusini mwa bara la Asia.

IMG_6659.jpeg


Hupatikana kwenye familia kubwa ya Zingiberaceae.

Kwa mujibu wa USDA, tangawizi ni mzizi ulio na mjumuiko wa nishati, protini, wanga, nyuzilishe, madini chuma, calcim phosphorus, magnesium, zinc, selenium, vitamini C, B6, B12 na folate.

Tangawizi huwa pia na kemikali hai za kampaundi za phenolic na terpene ambazo mfano wake ni gingerols, shogaols na paradols.

  • Hutibu tatizo la Kiungulia na kutapika kwa wanawake wajawazito, wenye matibabu ya saratani na wale wanaotapika wawapo safarini
  • Kemikali za gingerol ambazo hupatikana kwa wingi kwenye tangawizi mbichi huwa na uwezo wa kukinga pamoja na kudhibiti ukuaji wa aina mbalimbali za seli za saratani mwilini.
  • Huharibu sumu mwilini, kulinda seli za mwili pamoja na kuzuia au kutibu aina mbalimbali za uvimbe.
  • Tangawizi huongeza uzalishwaji wa vichocheo vya kiume, hupunguza uharibifu wa kuta za ndani ya korodani, huondoa sumu pamoja kupanua mishipa ya damu inayoelekea kwenye uume.
  • Ni dawa nzuri ya kikohozi na mafua. Tangawizi hufungua mfumo wa hewa pamoja na kupunguza uzalishwaji wa ute unaoziba mfumo huu. Huwa pia na sifa ya kupambana na aina mbalimbali za virusi wanaosababisha mafua, pamoja na kuongeza uimara wa kinga mwili.
Jambo zuri kuhusu mzizi huu ni jinsi unavyoweza kutumiwa kwa namna tofauti.

Unaweza kutumia kama chai, unaweza kutafuna au pia inaweza kuongezwa kwenye mapishi ya chakula kama sehemu ya viungo.

Chanzo: Afyainfo
 
Ni mzizi ulio na faida kubwa sana kwa afya. Vyanzo vya kihistoria vinataja asili ya mzizi huu kuwa ni Kusini mwa bara la Asia.

View attachment 2580829

Hupatikana kwenye familia kubwa ya Zingiberaceae.

Kwa mujibu wa USDA, tangawizi ni mzizi ulio na mjumuiko wa nishati, protini, wanga, nyuzilishe, madini chuma, calcim phosphorus, magnesium, zinc, selenium, vitamini C, B6, B12 na folate.

Tangawizi huwa pia na kemikali hai za kampaundi za phenolic na terpene ambazo mfano wake ni gingerols, shogaols na paradols.

  • Hutibu tatizo la Kiungulia na kutapika kwa wanawake wajawazito, wenye matibabu ya saratani na wale wanaotapika wawapo safarini
  • Kemikali za gingerol ambazo hupatikana kwa wingi kwenye tangawizi mbichi huwa na uwezo wa kukinga pamoja na kudhibiti ukuaji wa aina mbalimbali za seli za saratani mwilini.
  • Huharibu sumu mwilini, kulinda seli za mwili pamoja na kuzuia au kutibu aina mbalimbali za uvimbe.
  • Tangawizi huongeza uzalishwaji wa vichocheo vya kiume, hupunguza uharibifu wa kuta za ndani ya korodani, huondoa sumu pamoja kupanua mishipa ya damu inayoelekea kwenye uume.
  • Ni dawa nzuri ya kikohozi na mafua. Tangawizi hufungua mfumo wa hewa pamoja na kupunguza uzalishwaji wa ute unaoziba mfumo huu. Huwa pia na sifa ya kupambana na aina mbalimbali za virusi wanaosababisha mafua, pamoja na kuongeza uimara wa kinga mwili.
Jambo zuri kuhusu mzizi huu ni jinsi unavyoweza kutumiwa kwa namna tofauti.

Unaweza kutumia kama chai, unaweza kutafuna au pia inaweza kuongezwa kwenye mapishi ya chakula kama sehemu ya viungo.

Chanzo: Afyainfo
Shukran kwa elimu yenye manufaa,Mimi huutumia Kama chai yangu Kila siku, lakini Kama nakuwa na kikohozi ni kitulizo kikubwa Sana kwangu ninapoitafuna tangawizi mbichi ikiwa nimechanganya na chumvi kidogo, basi kikohozi haraka hupotea.
 
Ni mzizi ulio na faida kubwa sana kwa afya. Vyanzo vya kihistoria vinataja asili ya mzizi huu kuwa ni Kusini mwa bara la Asia.

View attachment 2580829

Hupatikana kwenye familia kubwa ya Zingiberaceae.

Kwa mujibu wa USDA, tangawizi ni mzizi ulio na mjumuiko wa nishati, protini, wanga, nyuzilishe, madini chuma, calcim phosphorus, magnesium, zinc, selenium, vitamini C, B6, B12 na folate.

Tangawizi huwa pia na kemikali hai za kampaundi za phenolic na terpene ambazo mfano wake ni gingerols, shogaols na paradols.

  • Hutibu tatizo la Kiungulia na kutapika kwa wanawake wajawazito, wenye matibabu ya saratani na wale wanaotapika wawapo safarini
  • Kemikali za gingerol ambazo hupatikana kwa wingi kwenye tangawizi mbichi huwa na uwezo wa kukinga pamoja na kudhibiti ukuaji wa aina mbalimbali za seli za saratani mwilini.
  • Huharibu sumu mwilini, kulinda seli za mwili pamoja na kuzuia au kutibu aina mbalimbali za uvimbe.
  • Tangawizi huongeza uzalishwaji wa vichocheo vya kiume, hupunguza uharibifu wa kuta za ndani ya korodani, huondoa sumu pamoja kupanua mishipa ya damu inayoelekea kwenye uume.
  • Ni dawa nzuri ya kikohozi na mafua. Tangawizi hufungua mfumo wa hewa pamoja na kupunguza uzalishwaji wa ute unaoziba mfumo huu. Huwa pia na sifa ya kupambana na aina mbalimbali za virusi wanaosababisha mafua, pamoja na kuongeza uimara wa kinga mwili.
Jambo zuri kuhusu mzizi huu ni jinsi unavyoweza kutumiwa kwa namna tofauti.

Unaweza kutumia kama chai, unaweza kutafuna au pia inaweza kuongezwa kwenye mapishi ya chakula kama sehemu ya viungo.

Chanzo: Afyainfo
Faida ya mmea wowote kiafya hutegemea ubora wa eneo ulipoota au kuoteshwa kwa kuwa hubeba kemikali zilizopo. Mifano ifuatayo inathibitisha hoja yangu.

1) Utafiti ulifanywa na mtaalamu mmoja Chuo Kikuu Dsm kuhusu ubora na usalama wa michicha inayolimwa kandokando ya barabara za Dsm. Iligundulika kuwa michicha hiyo ina kiwango kikubwa cha "heavy metals e.g. mercury (Hg), cadmium (Cd), arsenic (As), chromium (Cr), thallium (Tl), and lead (Pb) kutokana na moshi na mafuta ya magari. Mimea hufyonza metali hizo muhimu kwa ajili ya matumizi kupitia mizizi yao.
2) Mmea wa "Aloe vera" pia hutumika sana kwa tiba lakini utafiti wa uwezo wa inayolimwa majumbani kitiba ni mdogo sana kwa sababu ya aina ya udongo na maji yanayotumika kuotesha. Pia kwa njia ya "photosythesis" huvuta hewa chafu, km moshi wa magari wenye kemikali nyingi, ambayo kwa sasa ni jambo la kawaida.

Hivyo basi kuwe na tahadhali na matumizi ya mimea kama tiba mbadala
 
Faida ya mmea wowote kiafya hutegemea ubora wa eneo ulipoota au kuoteshwa kwa kuwa hubeba kemikali zilizopo. Mifano ifuatayo inathibitisha hoja yangu.

1) Utafiti ulifanywa na mtaalamu mmoja Chuo Kikuu Dsm kuhusu ubora na usalama wa michicha inayolimwa kandokando ya barabara za Dsm. Iligundulika kuwa michicha hiyo ina kiwango kikubwa cha "heavy metals e.g. mercury (Hg), cadmium (Cd), arsenic (As), chromium (Cr), thallium (Tl), and lead (Pb) kutokana na moshi na mafuta ya magari. Mimea hufyonza metali hizo muhimu kwa ajili ya matumizi kupitia mizizi yao.
2) Mmea wa "Aloe vera" pia hutumika sana kwa tiba lakini utafiti wa uwezo wa inayolimwa majumbani kitiba ni mdogo sana kwa sababu ya aina ya udongo na maji yanayotumika kuotesha. Pia kwa njia ya "photosythesis" huvuta hewa chafu, km moshi wa magari wenye kemikali nyingi, ambayo kwa sasa ni jambo la kawaida.

Hivyo basi kuwe na tahadhali na matumizi ya mimea kama tiba mbadala
kwa nn mara nyingi ukitumia tangawizi iliyochemshwa huwa inasababisha mtumiaji kukojoa sana?
 
Tangawizi ni tuliba nzuri sana ya Tumbo ni Aunt inflimantory nzuri mno.

Ila kwa mtu mwenye Urcers usijaribu kugugusa.

Vidonda vya Tumbo na Tangawizi utalia upasuke.
 
Back
Top Bottom