Mimi habari za saa hii!
Hope mko poa.
Nataka kuattend a certain conference in us, via a company.
Je ni documents gani muhimu zinahitajika,na ni vitu gani nitimize ili niweze pata visa?
Na visa fees ni kiasi gani.(sijawahi enda us before,)
please ideas nifanye vipi ili niwe na uhakika wa kupata visa.
Asante
Hope mko poa.
Nataka kuattend a certain conference in us, via a company.
Je ni documents gani muhimu zinahitajika,na ni vitu gani nitimize ili niweze pata visa?
Na visa fees ni kiasi gani.(sijawahi enda us before,)
please ideas nifanye vipi ili niwe na uhakika wa kupata visa.
Asante