Visa Card Vs Master Card

Watu pori kwa kujigamba. Ona...., lasima ataje eti "platinum" ili aonekane ni saidi. Ndio maana siku sote mnaishia mwisho mbaya na nyumbani mnashindwa kujenga. Kwa mara nyingine tena nasema kyasaka hamwoa mwanangu....

Usizuzuke sana na hilo neno/jina la platinum. Wao walionipa ndivyo wanavyoiita hiyo kadi yao. Na haina utofauti sana na kadi zingine. Kwa hiyo hamna cha kujigamba hapo. Nijigambie debit card? Usinichekeshe bana.
 

Pia ungeongezea kwa kueleza kuwa hizo ni kadi zinazotambuliwa kimataifa waweza kutumia kufanya malipo au kutoa pesa kwenye ATM nchi yoyote lakini kila ufanyapo hivyo unakatwa kidogo kulipia gharama ya huduma hiyo
 
Watu pori kwa kujigamba. Ona...., lasima ataje eti "platinum" ili aonekane ni saidi. Ndio maana siku sote mnaishia mwisho mbaya na nyumbani mnashindwa kujenga. Kwa mara nyingine tena nasema kyasaka hamwoa mwanangu....

dah wivu mwengine nao...
 
<br />





ha ha ha ha ha ha!! pengine alitaka ufike hapo!
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…