Sijajibu kivipi wakati katika maelezo yangu nimesema zote ni kadi za benki zinazotolewa na makampuni mawili ya Kimarekani. Fundamentally hazina tofauti na tofauti kubwa iliyopo ni zinatolewa na makampuni mawili tofauti. <br />
<br />
Au wewe ulitaka niandike orodha nzima ya tofauti zake, kwa mfano, Mastercard makao yake makuu yako Purchase, New York. Na makao makuu ya Visa yako San Francisco, California etc., etc. <br />
<br />
Nembo ya MasterCard ina vimiduara viwili, kimoja cha rangi ya chungwa na kingine cha rangi ya manjano. Vimiduara hivyo vimeunganika na katikakati yake kuna maneno "MasterCard". <br />
<br />
Nembo ya VISA ni kiboksi chenye background nyeupe na neno VISA kwa herufi kubwa limeandikwa katikati.<br />
<
Ndiyo ulitaka hivyo? Au wewe unazijua tofauti gani zingine?