Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Kuanika chupi na magaguro kuua vimelea wa fangas nacho ni kisa?Yaani hapo upo single halafu wapangaji wengine waliobaki wameoa.Na hivi ndio visa vya wake zao.Je utahama au utavumilia?
ni maelekezo ya tunguli za Mshana Jr sio bureπ πHamna kitu inanikera kama apa napokaa uyu dada na mumewe kwenda kutiana chooni dah alafu ni public toilet na choo ipo karibu na chumba changu.
Yes ukianika nje, unatupia na mtandio kwa juu.Kuna jamaa alikuja na malalamiko hayo hapa baadhi ya wanawake wakawa wanashauri wawe wanafunika na nguo nyepesi kama khanga n.k
wenye vifuniko viwili tuna tabu yan n bandika bandua ndoman fungus hazituishi, enewei niibie ata 2 nleteeYaani hapo upo single halafu wapangaji wengine waliobaki wameoa.Na hivi ndio visa vya wake zao.Je utahama au utavumilia?
Duh!....komaa hapo hapo usihameYaani hapo upo single halafu wapangaji wengine waliobaki wameoa.Na hivi ndio visa vya wake zao.Je utahama au utavumilia?
Jamani si anakuwa na dustbin la kutupia nguo chafu?Ana uza au?
Hadi amekusanya akafua zote hivo
Zikiwa chafu huwa anaweka wapi??
Au anatupia uvunguni??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ki kauka nikuvaeWewe usafi wako unaufanyaje mheshimiwa?
Haahaawenye vifuniko viwili tuna tabu yan n bandika bandua ndoman fungus hazituishi ,, enewei niibie ata 2 nletee
Naona ni malezi...Yes ukianika nje, unatupia na mtandio kwa juu.