Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 9,758 Reaction score 18,431 May 28, 2024 #21 Upwiru hadi unatamani nguo, huu si ni ugonjwa kabisa huu.
V Vito Corleone JF-Expert Member Joined Apr 4, 2023 Posts 2,418 Reaction score 5,257 May 28, 2024 #22 Kama nakuona mkuu unavyotamani kunusa...you weirdo.
Etugrul Bey JF-Expert Member Joined Aug 6, 2020 Posts 6,514 Reaction score 15,247 May 29, 2024 #23 Sasa chief hujui kuwa dawa ya jeuri ni kiburi,,,nawe ungeenda kuanika zako pale pale,,,unakwama wapi?
Sasa chief hujui kuwa dawa ya jeuri ni kiburi,,,nawe ungeenda kuanika zako pale pale,,,unakwama wapi?
Mpaji Mungu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2023 Posts 13,544 Reaction score 43,537 May 29, 2024 #24 Hivi zamani kipindi wanaume wanavaaa chupi.....sijui nlitaka kuandika nini hapa
T Timerlane JF-Expert Member Joined Aug 11, 2022 Posts 1,366 Reaction score 2,589 May 29, 2024 #25 Unakuta hapo unaziwazia hizo kufuli hapo, binafsi Mimi hizo Wala nisingeziona, kichwa changu kuwaza na kuweka faili la chupi kwenye ubongo siwezi kabisa...
Unakuta hapo unaziwazia hizo kufuli hapo, binafsi Mimi hizo Wala nisingeziona, kichwa changu kuwaza na kuweka faili la chupi kwenye ubongo siwezi kabisa...
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 29, 2024 #26 Piga moyo konde... Cc: Mahondaw