TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Kuna tabia za ajabu sana siku hizi, watu hawana utu ukifa kwao sherehe.
Mzee alipofariki, rafiki yake wa karibu alipewa jukumu la kwenda kutafuta mahali pa kuchimba kaburi, kwa wasiojua hata maeneo ya kuzikia pale makaburini yana madaraja na bei ni tofauti. Best yake kabisa mshua akapewa pesa akalipie daraja A yeye akaenda kumtupa mzee daraja la mwisho kabisa huko akapiga cha juu.
Alipofariki bro kuna mjomba alichangisha 2 Million kwa washikaji na wafanyakazi wa marehemu akaleta 600k nikatafuta daftari la mchango nikalipata mbona palichimbika.
Ebu tupe kisanga chako cha msibani kama unacho tucheke😂😂
Kuna tabia za ajabu sana siku hizi, watu hawana utu ukifa kwao sherehe.
Mzee alipofariki, rafiki yake wa karibu alipewa jukumu la kwenda kutafuta mahali pa kuchimba kaburi, kwa wasiojua hata maeneo ya kuzikia pale makaburini yana madaraja na bei ni tofauti. Best yake kabisa mshua akapewa pesa akalipie daraja A yeye akaenda kumtupa mzee daraja la mwisho kabisa huko akapiga cha juu.
Alipofariki bro kuna mjomba alichangisha 2 Million kwa washikaji na wafanyakazi wa marehemu akaleta 600k nikatafuta daftari la mchango nikalipata mbona palichimbika.
Ebu tupe kisanga chako cha msibani kama unacho tucheke😂😂